Wanafunzi walikuwa wanapata msosi wakati wa mapumziko pale shuleni kwao,basi wakaanza mazungumzo yao
MWANAFUNZI#1:He!we mbona unakula mihogo kama nguruwe,nyie kweli maskini,unaniona mie mwenzio nakula mayai mkate asali nakunywa 100%fruit juice yaani napata msosi wa nguvu
MWANAFUNZI#2:Hivyo unavyokula wewe cc huwa tunampa Mbwa ale