ArchAngel
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 4,516
- 3,753
kwani serikali ya wanafunzi UDSM haina members wa UVCCM?--->>UPO UWEKANO WANAFUNZI HAWA WANATUMIWA NA CDM.
---->>SEREKALI YETU MAKINI ISILIVUMILIE HILI.
kwani serikali ya wanafunzi UDSM haina members wa UVCCM?--->>UPO UWEKANO WANAFUNZI HAWA WANATUMIWA NA CDM.
---->>SEREKALI YETU MAKINI ISILIVUMILIE HILI.
sio msaada huo mkuu hizo hela LAZMA KURUDISHA ukishaajiriwa
LOGIC iko hapa mkuu sasa kama hujafaulu vuzuri advance alaf mzazi ana kijiuwezo kiasi nakuamini vpi nikupe mkopo zaidi Ya 50%??? Maana kwa kawaida advance kuna mazingira mazuri ya kusoma compared to university........si HASARA hii maana its Obvious hutalipasio msaada huo mkuu hizo hela LAZMA KURUDISHA ukishaajiriwa
ficha ujinga wako weweMsije mkasusa wenzenu wakala, hii ni serikali ya awamu ya tano msilete majaribu mtajuta hata kugomea hicho kiduchu mlichopewa
Yaani ana roho mbaya saaana!!!Yani Juma Maharagwe leo leo atapiga sim kwa waziri kutoa maelekezo kuwa mfukuzwe...
Yani jamaa ndio anachokitaka na ndio anachokipenda ..
Jamaa ana roho mbaya kweli daaah !! Yani jamaa ana roho mbaya nyie ngojeni mtaniambia afu anafurahibsana watu mkiteseka yani yeye ndio anapenda anafurahi sana
WoteMi naomba kufaham, ni wote hawajapewa hiyo elfu 8500/ au ni first year peke yao?
Dogo najua unasoma UDOM,kumbuka hata majina ya wanaoendelea hayajarudishwa ko usishangae wakifanikiwa kwa First year wanaweza kuwageukia hata wanaoendelea kwahiyo hebu jaribu kidogo kupunguza masihara kwenye mambo ya msingi..ulivyoNijibu ni Ishara huJapata mkopo maana wewe ni ******,alaf mada Haikuwa uHB swali unalotakiwa uJiulize ni kwamba is it ur Right ebu niJibu Ili kwanza!!
Yaani unamaanisha hata wanaoendelea mwaka wa pili na tatu nao wamepewa 77000? Na hizo pesa ni za miezi 3 au?Wote
..Mkuu ukifanya vitu kwa uhakika unakua confident alaf Just incase huJanotice nipo seriousDogo najua unasoma UDOM,kumbuka hata majina ya wanaoendelea hayajarudishwa ko usishangae wakifanikiwa kwa First year wanaweza kuwageukia hata wanaoendelea kwahiyo hebu jaribu kidogo kupunguza masihara kwenye mambo ya msingi
bora kufukuzwa mkuu kuliko kuendelea kuishi maisha magumu chuoni.Yani leo leo atapiga sim kwa waziri kutoa maelekezo kuwa mfukuzwe...
Yani jamaa ndio anachokitaka na ndio anachokipenda ..
Jamaa ana roho mbaya kweli daaah !! Yani jamaa ana roho mbaya nyie ngojeni mtaniambia afu anafurahibsana watu mkiteseka yani yeye ndio anapenda anafurahi sana
Mimi mwenyewe maisha yanavyonitwanga yakiitishwa maandamano nimo naendaaa kukinukishabora kufukuzwa mkuu kuliko kuendelea kuishi maisha magumu chuoni.
Nahisi ww hata chuo hujafika kama ni chuo basi ni vile vya ki******..unapewa mkopo alaf unakimbilia kununua tv alaf ulkua na credit advance,something is missing here
mkuu achana na huyo mwenye akili fyatuficha ujinga wako wewe
hela ziendee bukoba kwenye tetemeko kule, watu wanashida kulee, ata kama umepewa alfu tano kwa mwezi, tukasaidie ndugu zetu kule kagera
Huna Mtoto wewee ?
Mungu akusamehe bure tu maana hujui husemalo!!™Hahahahahahaha..... Mkiambiwa "Ambao hawajasaini boom wote wasipewe tena mkopo, mkopo wapewe wenye uhitaji". Ndipo mtakapojua maharage ni matunda au mboga