Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Wakuu,nimeshindwa kupost hiyo habari kama ilivoandikwa kwenye gazeti la mwananchi la leo tar 27/06/2012,lakini kwa ufupi ni kwamba,kati ya wanafunz 40000 waliofanya udahili kwa cas-tcu,3000 watakosa udahili kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kukosea kujaza,wenye dosari hizo wametumiwa e-mail kujulishwa matatzo yao na wameshauriwa kufanya marekebisho kabla ya tarehe 30/06/2012.
Source:mwananchi ya leo.
Source:mwananchi ya leo.