Wanafunzi 11 wa chuo kikuu cha Mwenge-Moshi wamesimamishwa Masomo kwa sababu za kiimani!

Status
Not open for further replies.
assuming that it were true, wana haki ya kulindwa na serikali, si wanalipa kodi serikalini? au unataka serikal iwaue ili mbaki ninyi dinikolonSabato peke yenu?

wewe mchumia tumbo usiyejua lolote na usiyetaka kusumbua akiri yako kuwaza nataka ufahamu kuwa Hakuna assumption hapa,kila mtu ama taasisi inatakiwa kulindwa "kuhakikishiwa usalama wake" ndio matakwa ya katiba.
 
Wasabato tunaamini katika "afya,akiri na imani/kiroho-health,mental and spiritual" na ni msingi wetu hivyo haina haja ya kufundishana maana tunafahamu na tunelewa hivyo na vyote vinaenda kwa pamoja,ndio maana hao wanafunzi wameona kiimani hawakutendewa sawa[/QUOT
wataingizaje imani yao kwenye elimu matokeo yake ndio hayo sasa na wataendelea kufukuzwa kama hawatajua kutofautisha imani na elimu.Kila jambo linawakati wake kama ratiba imepangwa kutakuwa na mtihani fanya mtihani kwanza ukitoka hapo kasali hakuna atakayekukataza kwanza huo mtihani unafanywa kwa muda mchache tu sio siku nzima.
 
Halafu Elimu bora mtaipata wapi?kule Muslim University Morogoro na Zanzibar University?na kwanini mnaenda kurundikana kwenye vyuo vya Wakatoliki na wakati mna Vyuo vyenu hasa kile Muslim University Morogoro. Ficha upumbavu wako wewe,mbona sisi tulipokuwa Chuo tulikuwa tunafanya Mitihani,Lecture,Presentation ya Research na Test mpaka Jumapili tena asubuhi saa 1 mbona hatujawahi kulalamika tena kwenye vyuo vya Serikali.

Mkuu ulipaswa kuheshimu imani yako na sio kuendeshwa kisa paper presentation au research. Hatuwezi kupata viongozi waadilifu dunianh wakati hawamtambui Mungu bali tutapata mafisadi na watu wasiojua haki kama tunavyoona zama hizi. Kama MUM inajiendesha kwa taratibu za kidini na ndio maana ktk orodha ya vyuo chini ya TCU hakipo kwakuwa kinataratibu zake za kiimani. Hivyohivyo hivyo vyuo vya katoliki vinatakiwa viondoshwe ktk orodha ya TCU ili watu kuwa kabla mtu hajafanya apprication ajue naenda chuo kinachoendeshwa kimisingi ya imani na hapo atakuwa yupo tayari kwalolote.
 
Graduation nyingi hufanyika jumamosi, je wasabato huwa hawaendi kwenye graduation? Maana mtu umepiga msoto miaka 3-4 halafu usiende? Kama wanaenda sasa kwa nini wasifanye mtihani jumamosi? (SWALI LA KIZUSHI)
 
Yesu hakuja kurekebisha mafundisho ya zaburi au torauti bali alikuja kurekebisha mienendo michafu ya wanawa Israel. Yeye mwenyewe alisema mimi sijaja kutengua tourati bali nimekuja kuutangaza tu uzima wa milele. Mafunzo ya kweli yapatikana katika agano la kale sio hili jipya lililochakachuliwa na linaendelea kufanyiwa editing kila muda unapoenda lengo liendana na matakwa ya NEW WORLD ORDER.

basi hiyo kali kama hata bible mnapingana nayo yaani ni bora niwe mpagani kulikokuwa msabato.
 
wewe mchumia tumbo usiyejua lolote na usiyetaka kusumbua akiri yako kuwaza nataka ufahamu kuwa Hakuna assumption hapa,kila mtu ama taasisi inatakiwa kulindwa "kuhakikishiwa usalama wake" ndio matakwa ya katiba.
wee juha kweli, kwa hiyo waromani siyo watu na siyo taasisi??!! chuki za DiniKoloni hizi.

no wonder mtu anafkia hata kujilipua ili kuuwa binadamu wenzake kwa sababu tu ya kujazwa chuki za DiniKoloni.
 
Mkuu CHAMVIGA uko sawa kabisa!

Mara nyingi mimi Hawa jamaa huwa nawapotezea tu! Lkn Kwa kashfa zao nitaanika madudu Yao yote hapa jf ata Km ntapa ban potelea mbali!

Mkuu sidhani kama kuelezea madudu ya imani nyingine ni makosa so far unatoa refference za uhakika. Hakuna ban wala nini.
 
Last edited by a moderator:
Wewe naelewa Kua uwezo ni Mdogo sn tena tena huwezi kutetea ktk!

Unamfahamu kahaba ktk Maandiko anaezungumziwa? Kahaba ni Imani yako! Nenda kasome kitabu cha ufunuo uone Mungu anatoa Ole Kwa wale watakaoshirikiana Na Huyo kahaba!

Maandiko yako wazi kabisa! Nenda ukasome Au Km huwezi mtafute mtu akusaidie Lkn Dini yako ni upagani Na ushetani mkubwa na nyie ndio mliotesa watu Wa Mungu mpk Waislam walipowapiga ktk karne ya 6 na ndio mtakuja kutesa tena watu Wa Mungu hapo badae!

Eti mnatwambia Freemason! Freemason kitu gani Na wakati ni nyie wenyewe!? No 666 ni yenu na ni ya Freemason! Sasa utatenganisha vp ufreemason na uroma?

Hee aisee kuna mambo humu
 
assuming that it were true, wana haki ya kulindwa na serikali, si wanalipa kodi serikalini? au unataka serikal iwaue ili mbaki ninyi dinikolonSabato peke yenu?

Serikali haiko kuwalinda wakatoliki pekee bali inajukumu la kulinda raia wake wote. Inapaswa kugawa haki kwa usawa baina ya watu wake na sio kupendelea dhehebu flani la dini kama wakatoliki mnavyofanziwa.
 
Binadam yampasa kujitibu kiroho na kimwili kiroho ndo masuala ya iman na kusali sasa nyie wasabato mnapuuzia kujitibu kimwili au mnataka kuwa kama ndege wa angan
 
anataka uendelee kufika pahala pa wewe nawe uwe na Mwenge university yako ili uache kwenda mwenge university ya roman kutafta bifu na waroman.

Kama ndio hivyo sawa lakini katika taratibu zielezwe wazi kuwa vyuo vya roman catholic vinaendeshwa kwa taratibu za dini yao ili kuepusha migogoro kwa yeyote atakaetaka kujiunga na vyuo hivi.
 
Wana matatizo kweli ndo mana yesu liuliza punda wako akitumbukia shimon siku ya sabato utamwacha afa,ss ndo hao wanafunzi leo wmeacha punda wanafunzi wao shimoni. Nawapa pole

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mkuu ulipaswa kuheshimu imani yako na sio kuendeshwa kisa paper presentation au research. Hatuwezi kupata viongozi waadilifu dunianh wakati hawamtambui Mungu bali tutapata mafisadi na watu wasiojua haki kama tunavyoona zama hizi. Kama MUM inajiendesha kwa taratibu za kidini na ndio maana ktk orodha ya vyuo chini ya TCU hakipo kwakuwa kinataratibu zake za kiimani. Hivyohivyo hivyo vyuo vya katoliki vinatakiwa viondoshwe ktk orodha ya TCU ili watu kuwa kabla mtu hajafanya apprication ajue naenda chuo kinachoendeshwa kimisingi ya imani na hapo atakuwa yupo tayari kwalolote.

huo ni ujinga, huhitaji kuwa mfuasi wa DiniKoloni ili kuwa muadilifu. ni uamuzi kuwa jambazi au kutokuwa jambazi. kwa mfano mafisadi ya tanzania yote ni wafuasi wa dinikolin except kingunge.

yale yale ya MMU, Hayo kaielezen serikali yenu ya kifisad, ndo inayojikomba RC kuwaomba RC watoe huduma za kijamii kwa kujua kuwa RC wapo smart kwenye hilo. RC ni a global institution, wana uwezo wa kutoa huduma za jamii bila hata tone la ushirikano na viserikal fisadi vya afrika
 
Hayo ya kureset timetable ni dalili ya udhaifu wako, hapo unaeleza jinsi usivyo na akili.

Hibi nyiewasabato, jeshini na hospitali mnafanyaje kazi?

Ok may be ni kutokana na udhaifu wangu na upungufu wangu wa akili lakini dhamira yangu inaniambia ninapaswa kuheshimu imani ya kila mtu hasa katika maeneo ya public officer ingekuwa ni private tena ziongozwazo kidini hata hao wanafunzi wangenielewa bila shaka.
 
Kama ndio hivyo sawa lakini katika taratibu zielezwe wazi kuwa vyuo vya roman catholic vinaendeshwa kwa taratibu za dini yao ili kuepusha migogoro kwa yeyote atakaetaka kujiunga na vyuo hivi.
we juha nini, uelezwe mara ngapi, kamuulize mzee wa magogoni.
 
mbona kuna wanaoabudu ngombe hamuwasemi? na wengine wanaabudu mpka majini mbona wao waromani hawana ugomvi na mtu. wivu wa kike utawaua. wenzenu walishtuka mapema, za kuambiwa walichanganya na za kwao long time. sasa ninyi msiamke mpige kazi, mpige kitabu, bakini na chuki na wivu halafu mtaona gap litakavyozidi kupanuka..

Hatuna chuki na dini ya mtu hata ukiamua kuabudu utupu wako ni sawa. Na mjadala huu unawahusu Rc ndio maana hatuzungumzii wengine. Rc wanahimiza ulimwengu kuabudu mashetani badala ya Mungu nasi tunakemea haifai kuabudu mashetani ila Mungu tu wakweli.
 
Mkuu ulipaswa kuheshimu imani yako na sio kuendeshwa kisa paper presentation au research. Hatuwezi kupata viongozi waadilifu dunianh wakati hawamtambui Mungu bali tutapata mafisadi na watu wasiojua haki kama tunavyoona zama hizi. Kama MUM inajiendesha kwa taratibu za kidini na ndio maana ktk orodha ya vyuo chini ya TCU hakipo kwakuwa kinataratibu zake za kiimani. Hivyohivyo hivyo vyuo vya katoliki vinatakiwa viondoshwe ktk orodha ya TCU ili watu kuwa kabla mtu hajafanya apprication ajue naenda chuo kinachoendeshwa kimisingi ya imani na hapo atakuwa yupo tayari kwalolote.

Apprication=Application
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom