Watanzania tuache kulalamika..kenyatta is doing bussness kwa kujua kua rwanda,burundi.s.sudan na uganda ni land locked countries ndo maana kawakaribisha hao maraisi haiwezekani atualike tanzania kwenda kuzindua bandari kenya wakati zakwetu zimetushinda..we have to undrstnd n keep in our minds tht in terms of ports here in east africa kenya ni washndan wetu so thy r right to do wht thy r doing as far as thy r doing busness na ssi tutafte njia ya kuwashawishi hawa watakuja tu.tuache kulalamika..