gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,670
- 2,165
Mimi baada ya kuwasikia watu mbalimbali katika kipindi cha tuongee asubihi Star TV nimegundua watu wanajipendekeza kwa Magufuli kwa kumsifia kwamba ni mchapa kazi lakini wakiulizwa wanataka awachague kina nani kama mawaziri wake wanajifanya hawajui kana kwamba wanaomfahamu mchapa kazi ni Magufuli tu, katika nchi hii, kwangu mimi huo ni unafiki.