Wanadamu Wote ni Sawa? Acha Utani!

Wanadamu Wote ni Sawa? Acha Utani!

Nakuunga mkono hoja yako, hata binadamu ni mnyama!
But bro every living thing in this world wanazaliwa na kufa sasa iyo tayari ni common characteristics to all living organisms ila tukija kwenye ukweli binadamu hatupo sawa
 
Hebu fikiria kama wanaadamu wangemtumaini Mungu na kupendana sisi kwa sisi Haya mambo yangelitoka wapi? Hizi tofauti zingetoka wapi? Haki ilipotea na dunia imejaa dhuluma.Mungu asilaumiwe kutokana na tofauti zilizotengenezwa na tamaa za binadamu kuanzia na Adamu mwenywe.
Mbele za Mungu wote tuko sawa.Tofauti zlizopoi tumejitafutia wenyewe
 
Hebu fikiria kama wanaadamu wangemtumaini Mungu na kupendana sisi kwa sisi Haya mambo yangelitoka wapi? Hizi tofauti zingetoka wapi? Haki ilipotea na dunia imejaa dhuluma.Mungu asilaumiwe kutokana na tofauti zilizotengenezwa na tamaa za binadamu kuanzia na Adamu mwenywe.
Mbele za Mungu wote tuko sawa.Tofauti zlizopoi tumejitafutia wenyewe
Shida ilianzia kwa Adam
 
Back
Top Bottom