dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Yani kutokujua Hesabu ni tabu sana. Mtatiro anachezea hii equation alafu anafurahi:
10 - 400 = (390)
10 - 400 = (-390)
Yani kutokujua Hesabu ni tabu sana. Mtatiro anachezea hii equation alafu anafurahi:
10 - 400 = (390)
Chadema imeshinda uzini kwa kutoa @ kura 200,000/- mchango kutoka jimbo kuu la zanzibar si haba..
ndugu zake mtitiro wameamua kutokumwaibisha.akapata angalau allowance ya kwenda chuo.bila hao wanachama ingekuwa vigumu kupewa allowance za kwenda kwenye mikutano na mihadhara ya vyuo.jamani jitahidini kuwasaport viongozi wa vyama vilivyo I.C.U kwani nao wanazo familia.bila allowance ela ya mafuta watoto wao kwenda wapi?pia wanachama 10 si haba kwani kwa mwezi na robo atakuwa amerudisha wale mia 400.kidogo kidogo.... Kibaba