MWIBA WA KATANI
Member
- Feb 26, 2012
- 39
- 42
Katika ziara ya Naibu katibu mkuuwa CUF bara Mtatiro Julius ilimkutanisha na wanafunzi wa SAUT mwanza ambapo uongozi wa CUF tawi la SAUT ilifanikisha jumuiko hilio ambapo wanafunzi zaid ya kumi walichukuwa kadi za CUF nakukabidhiwa na Mtatiro.Mkutano huo na wanvyuo ulihudhriwa na wanchuo wa vyama mbalimbali.