Hii kali sana kweli ngozi nyeusi ni nyeusi tu..
Rafiki yangu aliepo MUHAS, katika story za hapa na pale akawa ananielezea kuwa licha ya JOTO la Dar hili lote madarasa wanayotumia kusomea na yenye WiFi huwa yanawashwa AC tu ikiwa hawa wanafunzi wageni wa SUDAN wakiwa wanafundishwa .. (ikumbukwe madarasa/lecture rooms wanashare wote).. wakitoka tu ama vipindi vyao vikiisha walinzi wanakuja kuzima AC ..zinazimwa ukijaribu kuuliza unaambiwa nyie sio watu maalum tumepewa maelezo AC ni kwa ajili ya wanafunzi wa Sudan..
Ikumbukwe wanafunzi hawa wa Sudan wapo MUHAS kusoma sababu ya hali ya kiusalama nchi kwao kuwa sio nzuri wamekuja huku ili kuendeleza masomo yao ambayo walikuwa wanasoma..
Namnukuu.
.
"Kama sisi watu weusi tunafanyiana hivi, kuna haja gani ya hawa waSUDAN wawepo? Bora wasiwepo ili tuendelee kupambana na joto" sisi ngozi nyeusi tuna shida gani hasa tukiona ngozi nyeupe? Upo radhi umkandamize mwenzako kisa sio mweupe?
"
Mwisho wa kunukuu..
Waungwana hii ni sawa?..
Rafiki yangu aliepo MUHAS, katika story za hapa na pale akawa ananielezea kuwa licha ya JOTO la Dar hili lote madarasa wanayotumia kusomea na yenye WiFi huwa yanawashwa AC tu ikiwa hawa wanafunzi wageni wa SUDAN wakiwa wanafundishwa .. (ikumbukwe madarasa/lecture rooms wanashare wote).. wakitoka tu ama vipindi vyao vikiisha walinzi wanakuja kuzima AC ..zinazimwa ukijaribu kuuliza unaambiwa nyie sio watu maalum tumepewa maelezo AC ni kwa ajili ya wanafunzi wa Sudan..
Ikumbukwe wanafunzi hawa wa Sudan wapo MUHAS kusoma sababu ya hali ya kiusalama nchi kwao kuwa sio nzuri wamekuja huku ili kuendeleza masomo yao ambayo walikuwa wanasoma..
Namnukuu.
.
"Kama sisi watu weusi tunafanyiana hivi, kuna haja gani ya hawa waSUDAN wawepo? Bora wasiwepo ili tuendelee kupambana na joto" sisi ngozi nyeusi tuna shida gani hasa tukiona ngozi nyeupe? Upo radhi umkandamize mwenzako kisa sio mweupe?
"
Mwisho wa kunukuu..
Waungwana hii ni sawa?..