Nimeshuhudia wanachuo wa chuo cha mipango dodoma wakinyimwa haki yao ya kidemokrasia baada ya wagombea wao wa uraisi wote watatu(3) waliowategemea kuenguliwa na tume ya uchaguzi kwa kile kinachohofiwa kuwa vijana hao ni makini katika kufuatilia mambo hivyo kuhofiwa na uongozi wa chuo hicho kuwa wanaweza kufichua uozo unaofanywa nao.kigezo eti ni kwamba wagombea hao ni wanachama wa vyama vya siasa hasa chdm.hivi kuna mwanafunzi au mtz asiye mwanachama wa chama cha siasa?zaidi ni kwamba hata serikali mliyochagua mwaka jana ilikataliwa na uongozi na kusimika ya kwao ya mpito ambayo imeongoza hadi mwaka umeisha sasa!wanamipango wengi wanaonesha kutokuwa na imani na uchaguzi unaoenda kufanywa kwamba ya mwaka jana yanawezajirudia!
Ushauri wangu:
1.wanachuo wote msishiriki uchaguzi
2.wagombea mlioenguliwa kwa sababu ambz hazieleweki unganeni,mtafute muongozo kwa mwanasheria then mfungue kesi ya kusitisha uchaguzi hadi haki itakapokuwepo.poleni sana!wana jf wapeni ushauri wafanye nini?
Source;mimi mwenyewe nilikuwepo chuoni hapo na kushuhudia hayo
Ushauri wangu:
1.wanachuo wote msishiriki uchaguzi
2.wagombea mlioenguliwa kwa sababu ambz hazieleweki unganeni,mtafute muongozo kwa mwanasheria then mfungue kesi ya kusitisha uchaguzi hadi haki itakapokuwepo.poleni sana!wana jf wapeni ushauri wafanye nini?
Source;mimi mwenyewe nilikuwepo chuoni hapo na kushuhudia hayo