Wanachokulaga wanajeshi vitani (kama biskuti), ni nini?

Wanachokulaga wanajeshi vitani (kama biskuti), ni nini?

ANKO JEI

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2018
Posts
1,319
Reaction score
2,502
Habari za usiku wakuu
Nimekua nikiona kwenye filamu mbalimbali na makala za wanajeshi hasa vitani huwa wanakula vitu flani vipo kama biskuti flani hivi,kwa imani yangu nahisi huwa wanashiba sana na kuna jamaa aliwahi nambia eti wanaweza shiba hata siku mbili,nikamuelewa kwasababu siamini kama wajeda watakua wanakula vitu kujiburudisha.Swali langu je vitu vile ni nini? Na je vinapatikana mtaani??nahitaji nivipate ili hali inapoyumba mfukoni napiga vile burudaani pasi ndefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali la nyongeza
Is war an interlude during peace, or peace an interlude during war?
 
Back
Top Bottom