ANKO JEI
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,319
- 2,502
Habari za usiku wakuu
Nimekua nikiona kwenye filamu mbalimbali na makala za wanajeshi hasa vitani huwa wanakula vitu flani vipo kama biskuti flani hivi,kwa imani yangu nahisi huwa wanashiba sana na kuna jamaa aliwahi nambia eti wanaweza shiba hata siku mbili,nikamuelewa kwasababu siamini kama wajeda watakua wanakula vitu kujiburudisha.Swali langu je vitu vile ni nini? Na je vinapatikana mtaani??nahitaji nivipate ili hali inapoyumba mfukoni napiga vile burudaani pasi ndefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekua nikiona kwenye filamu mbalimbali na makala za wanajeshi hasa vitani huwa wanakula vitu flani vipo kama biskuti flani hivi,kwa imani yangu nahisi huwa wanashiba sana na kuna jamaa aliwahi nambia eti wanaweza shiba hata siku mbili,nikamuelewa kwasababu siamini kama wajeda watakua wanakula vitu kujiburudisha.Swali langu je vitu vile ni nini? Na je vinapatikana mtaani??nahitaji nivipate ili hali inapoyumba mfukoni napiga vile burudaani pasi ndefu.
Sent using Jamii Forums mobile app