Wanachokosea CHADEMA ni kucheza mdundo wa CCM

Wanachokosea CHADEMA ni kucheza mdundo wa CCM

Mkungunero

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2023
Posts
401
Reaction score
569
CHADEMA kimekuwa kikienda na mdundo wa CCM, na CCM inawapa matukio mengi ili waendelee ku-exist. Hivi CHADEMA hawawezi kufanya kampeni bila kuitaja CCM au kuongelea hotuba za Rais?

Wenzao huko duniani huwa wanadiscuss issues bila kugusia matukio ya chama tawala.

CHADEMA inapaswa kuweka misimamo na kuongelea mwelekeo wao wakichukua nchi na siyo kukosoa Wala kubeza mambo ya CCM maana kwa kufanya hivyo CCM ikijisahihisha wanakuwa hawana hoja tena.
 
Chadema ki.ekuwa kikienda na mdundo wa ccm na ccm inawapa matukio mengi ili waendelee ku exist. Hivi chadema hawawezi kufanya kampeni bila kuitaja ccm au kuongelea hotuba za rais?

Wenzao huko duniani Huwa wanadiscuss issues bila kugusia matukio ya chama tawala.

Chadema inapaswa kuweka misimamo na kuongelea mwelekeo wao wakichukua nchi na siyo kukosoa Wala kubeza mambo ya ccm mana kwa kufanya hivyo ccm ikijisahihisha wanakuwa hawana hoja tena.

“Wenzao wana discuss issues bila kugusia matukio ya chama tawala”

Sorry to inform you, you know nothing man, wenzetu wanasemana sana tu. Tofauti ni kwamba wao wana kosoana kwa facts na wana dira ya kitaifa ambapo hata wapinzani wakishika madaraka wana follow hiyo

Sio chadema,si mwanasiasa,si mshabiki lakini mtu ambae naish nje ,siasa ziko hivyo ww ndio hufaham
 
Wenzao huko duniani huwa wanadiscuss issues bila kugusia matukio ya chama tawala.
dunia ipi? ya USA? Canada? Sweden? Hapa kuna Nunda mla watu, bila kumsema watu wakauona ubaya wake ataondokaje? unataka kusema nini?
 
CHADEMA kimekuwa kikienda na mdundo wa CCM, na CCM inawapa matukio mengi ili waendelee ku-exist. Hivi CHADEMA hawawezi kufanya kampeni bila kuitaja CCM au kuongelea hotuba za Rais?

Wenzao huko duniani huwa wanadiscuss issues bila kugusia matukio ya chama tawala.

CHADEMA inapaswa kuweka misimamo na kuongelea mwelekeo wao wakichukua nchi na siyo kukosoa Wala kubeza mambo ya CCM maana kwa kufanya hivyo CCM ikijisahihisha wanakuwa hawana hoja tena.
Hivi wengine mna akili gani? Chama cha siasa kinaingiaje madarakani bila kuonyesha udhaifu wa Chama kinachotawala!?

Kwahiyo kwa akili zako unataka CHADEMA wataje misikiti na makanisa?

Hivi nyie Wazanzibar mkoje?
 
Back
Top Bottom