Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Ndugu zangu wa ukonga tafadhalini sana msimchague mwita wala ccm yake wanalihujumu taifa kinachofanywa na ccm ni hujuma ya wazi dhidi ya taifa hili sasa jamani kama MTU ameacha ubunge kwa hiari yake kwanini alitie hasara na gharama taifa zisizo na msingi?
Jamani hii ni hujuma dhidi ya hazina ya taifa hii ni sabotage kwa taifa na inastahili adhabu inaudhi mno
Ndugu zangu wa ukonga msikubali hata kidogo kuwa sehemu ya dhambi hii kumbukeni historia itawahukumu na wajukuu zenu watawahoji babu na bibi mliwezaje kuwa sehemu ya uovu huu?
Wanaume ukonga ikumbukeni damu ya akwilina mnataka wakina akwilina wangapi wafe ukonga?
Ndugu wana ukonga litazameni hili kwa jicho LA kipekee sana na huyo mwita ni msaliti msikubali katu Abadan kuwa sehemu ya usaliti.
Mods tafadhali msifute huu Uzi hii ni kiu ya haki katiba mpya utafutwe kwa kelele zote kuepusha hizi hujuma dhidi ya taifa.
Mods chondechondechonde
Jamani hii ni hujuma dhidi ya hazina ya taifa hii ni sabotage kwa taifa na inastahili adhabu inaudhi mno
Ndugu zangu wa ukonga msikubali hata kidogo kuwa sehemu ya dhambi hii kumbukeni historia itawahukumu na wajukuu zenu watawahoji babu na bibi mliwezaje kuwa sehemu ya uovu huu?
Wanaume ukonga ikumbukeni damu ya akwilina mnataka wakina akwilina wangapi wafe ukonga?
Ndugu wana ukonga litazameni hili kwa jicho LA kipekee sana na huyo mwita ni msaliti msikubali katu Abadan kuwa sehemu ya usaliti.
Mods tafadhali msifute huu Uzi hii ni kiu ya haki katiba mpya utafutwe kwa kelele zote kuepusha hizi hujuma dhidi ya taifa.
Mods chondechondechonde