Hayo yote mnayoandika hayana mashiko, hiyokambi ya zito imesha sambarati kama mtu alikuwa nyuma ya zitoccm na aende hakuna mtu alie wika kama dr kaburu yuko wapi aliondoka kwa vishindo akaenda aendako, waliomtuma walimtumia kama kondom leo hii ndio yatakayo mkuta zitoccm mwisho wake wasiasa umefika.
Kama wafuasi wa cdm mnavotumiwa na chair wenu+katibu