Ulichukua hela hukuchukua..??Nimewahi kuhudhuria vikao vya chama Cha Mapinduzi 2020 na mara ya mwisho Jana. Hawa jamaa wanachama wao hawajui hata katiba ya chama, hawajui hata chama chao.
Vikao vyao wengi wanaenda Kwa sababu wameahidiwa kulipwa, Kulikua na wanafunzi wa form 5-6 Jana.
Watu wanaojiunga kwa maslahi binafsi ya kupata connections lakini tukizungumzia uzalendo, CCM ni 0.
Nabaki kujiuliza ni kizazi Gani wanazalisha Hawa jamaa, kizazi Cha wachoyo, wabinafsi, wezi na madiktator wa kesho.
Kwahiyo gawio lako alichukua nani..?Sikuchukua hata mia, hata maji na biskuti
Ni mambo ya aibu snNimewahi kuhudhuria vikao vya chama Cha Mapinduzi 2020 na mara ya mwisho Jana. Hawa jamaa wanachama wao hawajui hata katiba ya chama, hawajui hata chama chao.
Vikao vyao wengi wanaenda Kwa sababu wameahidiwa kulipwa, Kulikua na wanafunzi wa form 5-6 Jana.
Watu wanaojiunga kwa maslahi binafsi ya kupata connections lakini tukizungumzia uzalendo, CCM ni 0.
Nabaki kujiuliza ni kizazi Gani wanazalisha Hawa jamaa, kizazi Cha wachoyo, wabinafsi, wezi na madiktator wa kesho.
Uzalendo haupo kwa wananchi wengi watanzania, sio CCM peke yake.Nimewahi kuhudhuria vikao vya chama Cha Mapinduzi 2020 na mara ya mwisho Jana. Hawa jamaa wanachama wao hawajui hata katiba ya chama, hawajui hata chama chao.
Vikao vyao wengi wanaenda Kwa sababu wameahidiwa kulipwa, Kulikua na wanafunzi wa form 5-6 Jana.
Watu wanaojiunga kwa maslahi binafsi ya kupata connections lakini tukizungumzia uzalendo, CCM ni 0.
Nabaki kujiuliza ni kizazi Gani wanazalisha Hawa jamaa, kizazi Cha wachoyo, wabinafsi, wezi na madiktator wa kesho.