GE2025 Wanachama 7 wa CHADEMA wajiunga CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,450
Reaction score
5,278
Kwahiyo wameona kampeni ya No reforms no Election kwao ni ngumu? Au ndio wale CCM wanavalishwa nguo za CHADEMA kionesha umma kutulisha tango pori?!

Yaani CHADEMA avumilie kote huko aje kuhama leo? Msitufanye watu wajinga bana😂🤣🤣

=========

Katibu Mkuu wa UWT Ndg. Suzan Peter Kunambi (MNEC), amewapokea wanachama wapya 7 kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao wameahidi kuungana na wanachama wa CCM Kuhakikisha chama hicho kinapata ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29.

Aidha Katibu Mkuu Suzan Kunambi Amewataka viongozi wa UWT Wilaya ya Iringa Mjini kudumisha umoja na Mshikamano ili kufanikisha ushindi huo wa Chama Cha Mapinduzi .

 
hiyo kadi ya chadema ni ya lini?? matapeli wamekutana
 
Hiyo kadi ya zamani halafu ndiyo imetoka kwa printer Leo leo hawajui kuwa hizo kadi tulishaachana nazo kitambo sana, hivi CCM wataacha lini hii punyeto ya kisiasa?
 
Walitoka Chadema wakahamia Chaumma.Chama kisicho na mizizi itakuwa CCM?
Kijana huwezi kuzuia jua kwa ungo.
 
Waliokimbia Chaibwabwa au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…