GE2025 Wanachama 453 ACT Wazalendo Zanzibar Wahamia CCM, Wavutiwa na Uongozi wa Dkt. Mwinyi

GE2025 Wanachama 453 ACT Wazalendo Zanzibar Wahamia CCM, Wavutiwa na Uongozi wa Dkt. Mwinyi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Wanachama 453 wa Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Septemba 15, 2025 wakibainisha kuvutiwa na uongozi wa mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama hicho Dkt. Hussein Ali Mwinyi.

Mwakilishi wa wanachama hao Faki Ali Juma amesema wameamua kujiunga na CCM baada ya kushuhudia kasi ya maendeleo na dira ya uongozi wa Dkt. Hussein Ali Mwinyi.

Dkt. Mwinyi anawania muhula wa pili wa Urais wa Zanzibar.
 
Back
Top Bottom