Wanachadema ni kweli mnajenga Chama ndani ya Chama??

Wanachadema ni kweli mnajenga Chama ndani ya Chama??

Manamtutu

Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
7
Reaction score
3
Nimekutana na Kada mmoja wa Chadema Jimbo la Ilala katika mazungumzo akanishangaza sana.

Kuna ujenzi wa Chama ndani ya Chama unaofanywa kwa kitu kinaitwa CHADEMA Msingi. Anadai viongozi waliojenga Chama mpaka leo wanawekwa kando na hawashirikishwi kwenye jambo lolote. Ukihoji tu unaitwa msaliti na umepewa rushwa.

Anadai hata makada mashughuri wanaitwa wasaliti eti nao wanahabari za kiiteligensia.

Mnaofahamu kinachoendelea mje mtujuze. BAVICHA matusi hayatakiwi jibuni hoja.
 
Amekwambia hicho Chama kingine kinaitwaje?? M/kiti wako alikwambia uwe na akili za Mbayuwayu sio kila unaloambiwa unalimeza zimazima. Ugeni wa jukwaa unakusumbua pia sio kosa lako. Hili ni jukwaa la great thinkers
 
Chadema ni ubabe tu hakuna vikao vya mijadala na mwafaka wa pamoja ila slaa au mbowe akiamua ndani ya chadema anamfukuza mtu yeyote bila ya kikao.
 
Amekwambia hicho Chama kingine kinaitwaje?? M/kiti wako alikwambia uwe na akili za Mbayuwayu sio kila unaloambiwa unalimeza zimazima. Ugeni wa jukwaa unakusumbua pia sio kosa lako. Hili ni jukwaa la great thinker
Chunguza kwanza pengine kunakitu.
 
vijana wa uvccm bana mnastajabisha sna..ivyo ndyo vile visimu vya kchina mlyogaiwa na j.makamba sasa ndyo mnajifunza kutumia...cdm hakuna makada, cdm ina makamanda tu. Maskini jaman maccm.
 
Chadema ni ubabe tu hakuna vikao vya mijadala na mwafaka wa pamoja ila slaa au mbowe akiamua ndani ya chadema anamfukuza mtu yeyote bila ya kikao.
2015 utaendelea na CCM au ni kundi linaloachia ngazi na JK?
 
ccm-Sita
Ccm-Lowasa
Ccm-Membe
Ccm-Wasira
Kila mtu anautaka urais mtabaki kweli hapo?
 
Acha unafiki wewe gamba na umejua kuwa we mnafiki ndo maana ukaanza kujihami.

Naipenda chama changu cha ukombozi Chadema.
 
chadema uchaguz wa serikar za mitaa unakuja weken nguvu huko maana mkishachukua mitaa itakuwa simple kuchukua udiwan,ubunge had ngazi ya urais#viva Tanzania
 
Acha kuanzisha thread kwa jambo la kipuuzi lisilo na mbele wala nyuma. Kama unachukia watanzania wenzako kwa msimamo wao wa kisiasa basi wewe una asili ya mkimbizi/mhamiaji haramu. Umadhubuti wa hoja hapa JF unachangia kuuharibu siku hadi siku.
 
Chadema ni ubabe tu hakuna vikao vya mijadala na mwafaka wa pamoja ila slaa au mbowe akiamua ndani ya chadema anamfukuza mtu yeyote bila ya kikao.

Afadhali umelitambua,kuwa cdm ni wababe,saaaaafi sana,huyo dhaifu wako,je ni bora? Kila siku anasema ana orodha ya unga dealers,hana ubabe wowote wa kufanya desicion,yaani ccm wanapungukiwa ubabe tu
 
Back
Top Bottom