Wadau,
leo majira ya saa nane na nusu mchana nilikuwa jijini Arusha katika maeneo ya corner ya Philips, hiki ni kijiwe maarufu cha cdm, mida hiyo niliona gari ya cdm, toyota hilux double cabin yenye maandishi ya M4C, kawaida gari hii ikipita mitaa hiyo huwa kunakuwa na shangwe na miluzi ya vijana lkn leo vijana wote walikaa kimya na kuiangalia tu huku wakiendelea na kazi zao, binafsi naona watu hawapo happy na huu mgogoro unaoendelea, cdm mkiipoteza ars mmekwisha,jipangeni.
Wadau,
leo majira ya saa nane na nusu mchana nilikuwa jijini Arusha katika maeneo ya corner ya Philips, hiki ni kijiwe maarufu cha cdm, mida hiyo niliona gari ya cdm, toyota hilux double cabin yenye maandishi ya M4C, kawaida gari hii ikipita mitaa hiyo huwa kunakuwa na shangwe na miluzi ya vijana lkn leo vijana wote walikaa kimya na kuiangalia tu huku wakiendelea na kazi zao, binafsi naona watu hawapo happy na huu mgogoro unaoendelea, cdm mkiipoteza ars mmekwisha,jipangeni.
Wadau,
leo majira ya saa nane na nusu mchana nilikuwa jijini Arusha katika maeneo ya corner ya Philips, hiki ni kijiwe maarufu cha cdm, mida hiyo niliona gari ya cdm, toyota hilux double cabin yenye maandishi ya M4C, kawaida gari hii ikipita mitaa hiyo huwa kunakuwa na shangwe na miluzi ya vijana lkn leo vijana wote walikaa kimya na kuiangalia tu huku wakiendelea na kazi zao, binafsi naona watu hawapo happy na huu mgogoro unaoendelea, cdm mkiipoteza ars mmekwisha,jipangeni.
Watu wamechoshwa na upuuzi wa LEMA. Sio Philips tu, ukipita maeneo ya mwanama, Ngulelo, Ngaramtoni ya juu, Mgusero, Mbauda, Sakina, Esso, Ungalimited, Matejoo Kwa Giriki, Sanawari, Mianzini, Ilboru, Kimandolu, Tengeru, Njiro, Daraja Mbili, Sinon, Sombetini, Kwa Mromboo, Majengo, Kisongo, Sekei, Moshono etc Huku kote wamechoka kusikia kitu inaitwa CHADEMA, wanasubiri uchaguzi tu wawape haki yao!!!
Watu wamechoshwa na upuuzi wa LEMA. Sio Philips tu, ukipita maeneo ya mwanama, Ngulelo, Ngaramtoni ya juu, Mgusero, Mbauda, Sakina, Esso, Ungalimited, Matejoo Kwa Giriki, Sanawari, Mianzini, Ilboru, Kimandolu, Tengeru, Njiro, Daraja Mbili, Sinon, Sombetini, Kwa Mromboo, Majengo, Kisongo, Sekei, Moshono etc Huku kote wamechoka kusikia kitu inaitwa CHADEMA, wanasubiri uchaguzi tu wawape haki yao!!!
Tusaidie Arusha CHADEMA imefanya nini? Mimi nakubaliana na wale wanaosema kisichopendwa ni CCM, Arusha hata uchaguzi wa 1995 Mrema wa NCCR-Mageuzi alipata kura nyingi.Siasa za Arusha tuachie wana-Arusha, twazijua wenyewe. Wewe ungetaka watu washangilie gari?
Afu siyo yote uyaonayo unayaleta humu!
Watu wamechoshwa na upuuzi wa LEMA. Sio Philips tu, ukipita maeneo ya mwanama, Ngulelo, Ngaramtoni ya juu, Mgusero, Mbauda, Sakina, Esso, Ungalimited, Matejoo Kwa Giriki, Sanawari, Mianzini, Ilboru, Kimandolu, Tengeru, Njiro, Daraja Mbili, Sinon, Sombetini, Kwa Mromboo, Majengo, Kisongo, Sekei, Moshono etc Huku kote wamechoka kusikia kitu inaitwa CHADEMA, wanasubiri uchaguzi tu wawape haki yao!!!
Watu wamechoshwa na upuuzi wa LEMA. Sio Philips tu, ukipita maeneo ya mwanama, Ngulelo, Ngaramtoni ya juu, Mgusero, Mbauda, Sakina, Esso, Ungalimited, Matejoo Kwa Giriki, Sanawari, Mianzini, Ilboru, Kimandolu, Tengeru, Njiro, Daraja Mbili, Sinon, Sombetini, Kwa Mromboo, Majengo, Kisongo, Sekei, Moshono etc Huku kote wamechoka kusikia kitu inaitwa CHADEMA, wanasubiri uchaguzi tu wawape haki yao!!!
We jamaa jipange upya.umetoka usingizini huna cha kuandika unakurupuka...Arusha tunawaangaalia tu si hatubongi sana.kura tu ndio sauti yetu.Viva chadema
watu wamechoshwa na upuuzi wa lema. Sio philips tu, ukipita maeneo ya mwanama, ngulelo, ngaramtoni ya juu, mgusero, mbauda, sakina, esso, ungalimited, matejoo kwa giriki, sanawari, mianzini, ilboru, kimandolu, tengeru, njiro, daraja mbili, sinon, sombetini, kwa mromboo, majengo, kisongo, sekei, moshono etc huku kote wamechoka kusikia kitu inaitwa chadema, wanasubiri uchaguzi tu wawape haki yao!!!
pholipis kuna siku lema kapigwa pale nanasari wale vijana hawataki ujinga wa lema na mbowe wamepatanishwa wakagoma