Njoo mwanangu baada ya mechi tukakupakue😂😂Ticket mkononi tayari,Al Masry timu yangu ya utotoni.
Njoo mwanangu baada ya mechi tukakupakue😂😂Ticket mkononi tayari,Al Masry timu yangu ya utotoni.
Kenge nyie nendeni tuu midomo na mikhoundou ni yenuKauli mbiu ya Simba ni ubaya ubwela, sasa kwa kuwa wamewaalika watu walioitendea Yanga ubaya, kwenye hiyo mechi,basi wajibu wetu ni kuwajibu ubaya kwa ubaya.
Tukaishangilie Al Masry kesho
safiii kabisaa uko timamu mkuuNapenda Simba ifungwe ila sijawahi kuwaza kukata tiketi kabisa kwenda kushangilia timu ngeni.
With all due respect Sir, huo ni ushabiki Oyaoya.
na hisi wewe unakuka maviKenge nyie nendeni tuu midomo na mikhoundou ni yenu
fala weweIla mashabiki wa YANGA ni mafala
Timu lenu limeshatolewa kimataifa mnawashwawashwab tufala wewe
Na iwe hivyoo.Kama ilivyo haya mashindano kila mtu ashinde kwake,Simba anampiga Masry si chini ya goli 5.
Team Al Nasty nipo hapa🤍🤍🤍🤍🤍🕺🕺
tayari nina ticket mbili hapa, moja yangu nyingine ya shemeji yenu...Al-Masry daima mbele nyuma mwiko 😀 😀 😀Kauli mbiu ya Simba ni ubaya ubwela, sasa kwa kuwa wamewaalika watu walioitendea Yanga ubaya, kwenye hiyo mechi,basi wajibu wetu ni kuwajibu ubaya kwa ubaya.
Tukaishangilie Al Masry kesho
Kipindi cha Ubuntu Botho watu walivaa mpaka jezi za njano na uwanjani wakaingia, mechi ya Mazembe wakavaa jezi na uwanjani wakaingia free.Leo wao wameingia uoga wanaomba hasiye husika hasiingie.Kauli mbiu ya Simba ni ubaya ubwela, sasa kwa kuwa wamewaalika watu walioitendea Yanga ubaya, kwenye hiyo mechi,basi wajibu wetu ni kuwajibu ubaya kwa ubaya.
Tukaishangilie Al Masry kesho
Team Tanzania ikigongwa moja nakupapasa, ikigongwa zaidi nakukaza...Team Al Nasty nipo hapa🤍🤍🤍🤍🤍🕺🕺
Hebu wafungwe kwani awwwwwwwwwww 😋😋😋Team Tanzania ikigongwa moja nakupapasa, ikigongwa zaidi nakukaza...
Namba yako ya usnachama pleaseTicket mkononi tayari,Al Masry timu yangu ya utotoni.