The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
mmh golder ...finest uyo ............!!!!
finest toa tution bas kdg watu TUJIPANGE FOLEN.......!!!!natania mwaya
bt kitu cha ratiba ni kizuri mnoooooooooooooooooooooo cz unakuw aushajiandaa na siku husika so mnapeana kikukweli cz mentally ,spritually,down...unakuwa readyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy..na si ile dizaini ya ambush hahahha..natania mwaya!!!!!!!!!!!
mavamizi sryle ndo ya ukweli.
nini sasa??
Beauty tufanye majaribio tuone kama kila siku tutaweza kucheza aladji, aladji, aladji, aladji nitakusubiri ukitoka kazini leo
hapana huu uongo kabisa tena ulio naked, duh! kila siku si itakuwa balaa, tendo la ndoa ni tendo kama tendo jingine, linalohitaji muda na space, huwezi kufanya kila siku, utachoka, hata wanyama wenyewe hawafanyi kila siku.
wewe ndo umekua?km ukuaji wenyewe ni uu bora nibakie mtoto.Childish, AND bORING!
Unasikia kwa nani?
Unataka kuanzisha familia yako au ile ya KUSIKIA KWA WATU?
Na ijulikane tangu sasa kuwa Familia inayoingia kwenye ndoa ni MPYA, na ina uwezowa kutunga mambo yake mapya kabisa bila kuiga kwa mtu!..
Wala usihangaike kutueleza kama utabandika ratiba au any crap of the type, we fanya kulekule kunako chumba mmalize huko!
Kama ni mumeo wa ndoana unampenda, haifai kuja kuzungumzia hapa ratiba uliyobandika, wala utakachofanya,..maana wazoefu wa taasisi tunakuona kama teenager, and you just have wishes and dreams that will never come true!'
Kwa ushauri zaidi mtafute member mmoja anaitwa MWANAJAMII'ONE akusaidie!
Taratibu bana..kwanza tuombe likizo ya miezi mitatu halafu hiyo mipango ifanyike, siyo leo tafadhali, cos jaribio halitakuwa jaribio wala quiz, lakini naogopa kushitakiwa na ukoo & friends zako, kwakuwa najua utakataa kurudi kwenu kwa matukio nitakayokupiga, oooopss sasa sijui nifanyaje!! au nkutafutie mtu mwingne ambaye ni mwanafunzi kwa ajili ya majaribio? Da Sophy si mchoyo hope atakubali.Beauty tufanye majaribio tuone kama kila siku tutaweza kucheza aladji, aladji, aladji, aladji nitakusubiri ukitoka kazini leo
thanks beauty,now narejea kundini
we huo ualimu wako mimi siutaki
:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13: Nikijisikia unanipa chombo chako same applies to me vile vile usisahau kuwa kama mwanachama wa ISC nakuwa bado nina privilege na uwezo wa kwenda kutembelea majimbo mengine kuwasalimia wapiga kura wangu.
Halafu kuna kitu nimegundua, golder inaonekana wewe unaogopa gemu usijali mwanafunzi mpya kama wewe lazima tunaanza INTRODUCTION halafu tunakuja kwenye MAIN THEME halafu CONCLUSION ukitoka hapo utakuwa mwenyewe ukifika nyumbani unapiga simu kudai mwenyewe
taratibu bana..kwanza tuombe likizo ya miezi mitatu halafu hiyo mipango ifanyike, siyo leo tafadhali, cos jaribio halitakuwa jaribio wala quiz, lakini naogopa kushitakiwa na ukoo & friends zako, kwakuwa najua utakataa kurudi kwenu kwa matukio nitakayokupiga, oooopss sasa sijui nifanyaje!! Au nkutafutie mtu mwingne ambaye ni mwanafunzi kwa ajili ya majaribio? Da sophy si mchoyo hope atakubali.
Hapa magriiit sinkaz mnajadili nini?
Eeeeh kwani ushapata hamu? hapo hatujaingia hata ndani, kazi ipo, itabidi uage vizuri wasije bandugu wakakusaka mpaka kwenye vituo vya police bure!hamu huwa aisubiri
Eeeeh kwani ushapata hamu? hapo hatujaingia hata ndani, kazi ipo, itabidi uage vizuri wasije bandugu wakakusaka mpaka kwenye vituo vya police bure!
bacha mi nimeuliza kama ukishaingia ndoani ndo mtwango daily sas nakushangaa wewe unataka kunifundisha aaah mi sidanganyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiki.
naikumbuka vizuri sana sana, sheria no 3 yaetu inasema Mpende mkeo/mumeo kwa moyo wako wote na usitoke nje ya ndoa..naona unaanza kuvutiawa na upinzani, mpaka sheria umeziclaim, safi sana.Unajua kuna wengine haupati shida kwenye kutafuta channel sijui hadi utoke nje uanze kuzungusha antenna wala wewe unafanya digital tu, ila nakukumbusha sheria yetu namba 3 nafikiri unaitambua vizuri
Eeeeh kwani ushapata hamu? hapo hatujaingia hata ndani, kazi ipo, itabidi uage vizuri wasije bandugu wakakusaka mpaka kwenye vituo vya police bure!
naikumbuka vizuri sana sana, sheria no 3 yaetu inasema Mpende mkeo/mumeo kwa moyo wako wote na usitoke nje ya ndoa..naona unaanza kuvutiawa na upinzani, mpaka sheria umeziclaim, safi sana.