Wana-MMU hebu niambieni mimi ni mwanaume wa ajabu?

Basi watu km nyie ndo mtazaa kama Panya. kila ukichovya mapacha! unatoa inatoka mara inamea humohumo tena! mke anakufa na mimba mara anafufuka na mtoto, Basi tu ili mradi ni mauzauza yaso kichwa wala miguu! na hao watoto wanakuwa vichwa ni ile mbaya na amani yao! au ukaota mbele chini kinundu cha kudumu!

Japo unafanya masihara ujue dhambi hii ya kutopenda watoto itamea na kukutesa sana. inanaweza kukupa wenge wenge la ghafla mpaka siku moja uje ukiri hadharani km hivi ulikosea'', na usisitize na kuhubiri kushauri watu wa Dunia wapigane miti mpaka vumbi ndo itakuwa salama yako! Unampinga na Mungu kiutani? alisema '' zaeni...

USA ni vilema wale, UK leo idadi ya watu tuna wazidi, wakati wa uhuru tulikuwa mIllion 6 tu, wao walikuwa mara kumi yetu, lkn ndani ya miaka 50 ya uhuru tumelingana.
 
Habari zenu wana-MMU.

Nataka maoni yenu katika hili swala.
Swala hili linaonekana la ajabu kutokana na mila na tamaduni zetu za ki-Afrika ila SIO DHAMBI kabisa.

Mimi siitaji kuja kuwa na mtoto katika maisha yangu yote ila nataka kuoa niwe na mke TU. Hii ni kawaida sana kwa nchi za ulaya na marekani unakuta kuna familia/ndoa za namna hii nyingi sana lakini sio hapa Afrika.
Hapa nyumbani(Tanzania) formula ni Ndoa = Watoto.

Ili ndoa ionekane imefanikiwa basi iwe na watoto japo mimi binafsi siamini hivyo.

Katika maamuzi hayo yawezekana ntakumbana na changamoto nyingi, lakini Kubwa ni Kupata mwanamke ambae atakubali kuwa ndani ya ndoa bila mtoto.

Wana MMU nipeni maoni yenu kuhusu hili swala kwa sababu sijiskii KABISA kuwa nina deni la kuwa na mtoto, sina tatizo lolote kiafya la kunizuia kuwa na mtoto ila SITAKI TU.

1. Mna maoni gani ?

2. Je kuna msichana ambae anataka kuolewa lakini hana mpango wa kuzaa ?(kama baadhi ya wanawake wa ulaya/marekani)

Asanteni, mchana mwema.

Badili mtazamo, Mungu sio mjinga alivyoagiza kuzaa na kuijaza dunia.

Maswala ya kuzaa watoto wawili au kutokuzaa tumeletewa na wazungu baada ya wao kugundua tuna nguvu hivyo wanaogopa tusiwe wengi ili waendelee kututawala kifikra na kiuchumi.

Naona unawaiga sana.
 
Habari zenu wana-MMU.

Nataka maoni yenu katika hili swala.
Swala hili linaonekana la ajabu kutokana na mila na tamaduni zetu za ki-Afrika ila SIO DHAMBI kabisa.

Mimi siitaji kuja kuwa na mtoto katika maisha yangu yote ila nataka kuoa niwe na mke TU. Hii ni kawaida sana kwa nchi za ulaya na marekani unakuta kuna familia/ndoa za namna hii nyingi sana lakini sio hapa Afrika.
Hapa nyumbani(Tanzania) formula ni Ndoa = Watoto.

Ili ndoa ionekane imefanikiwa basi iwe na watoto japo mimi binafsi siamini hivyo.

Katika maamuzi hayo yawezekana ntakumbana na changamoto nyingi, lakini Kubwa ni Kupata mwanamke ambae atakubali kuwa ndani ya ndoa bila mtoto.

Wana MMU nipeni maoni yenu kuhusu hili swala kwa sababu sijiskii KABISA kuwa nina deni la kuwa na mtoto, sina tatizo lolote kiafya la kunizuia kuwa na mtoto ila SITAKI TU.

1. Mna maoni gani ?

2. Je kuna msichana ambae anataka kuolewa lakini hana mpango wa kuzaa ?(kama baadhi ya wanawake wa ulaya/marekani)

Asanteni, mchana mwema.
Mkubwa mashuti yako unayowapiga hayana tija ndio maana hutaki mtoto. Tumekuelewa. Wanaita shooting blank.
Tafuta mdada kama wema sepetu labda maana na yeye mule mule (Mungu amsaidie mdada wa watu maana anapenda mtoto). So ukim convience sepetu mtaishi kwa furaha sema rest assured atakua anafanya mipango ya kimya kimya.

Second option tafuta mdada ambaye ameshafika menopause. From 40 years of age is a good bet. Hapo utaenjoy. Hata condom huvai. Msubiri mtu kama wema sepetu akigonga 40 tu mtafte. Maana jua litakua limekucha.
Habari zenu wana-MMU.

Nataka maoni yenu katika hili swala.
Swala hili linaonekana la ajabu kutokana na mila na tamaduni zetu za ki-Afrika ila SIO DHAMBI kabisa.

Mimi siitaji kuja kuwa na mtoto katika maisha yangu yote ila nataka kuoa niwe na mke TU. Hii ni kawaida sana kwa nchi za ulaya na marekani unakuta kuna familia/ndoa za namna hii nyingi sana lakini sio hapa Afrika.
Hapa nyumbani(Tanzania) formula ni Ndoa = Watoto.

Ili ndoa ionekane imefanikiwa basi iwe na watoto japo mimi binafsi siamini hivyo.

Katika maamuzi hayo yawezekana ntakumbana na changamoto nyingi, lakini Kubwa ni Kupata mwanamke ambae atakubali kuwa ndani ya ndoa bila mtoto.

Wana MMU nipeni maoni yenu kuhusu hili swala kwa sababu sijiskii KABISA kuwa nina deni la kuwa na mtoto, sina tatizo lolote kiafya la kunizuia kuwa na mtoto ila SITAKI TU.

1. Mna maoni gani ?

2. Je kuna msichana ambae anataka kuolewa lakini hana mpango wa kuzaa ?(kama baadhi ya wanawake wa ulaya/marekani)

Asanteni, mchana mwema.
 
Ni uamuzi wako mkuu... nimeiona hii nikiwa uswis, jamaa kaoa lakini wamekubaliana hakuna kuzaa ni kuchakatana tu
 
Kwani hata mwanamke ntakaemuoa si ntawajibika kumtunza pia ? Chakula, mavazi, gharama za urembo.

Kwanza watoto sio gharama kama watu wanavyosema hasa kwa mtu ninaefanya kazi. Hawali saaana na nguo huwanunulii kila na ada ya masomo inalipwa mara moja tu kwa mwaka. Kwahiyo huo wajibu wa kuwatunza wala sio hoja kwa kweli.

Ukweli ni kwamba mimi SIONI haja/umuhimu wa kuwa na watoto. Sijawahi kuhisi nahitaji mtoto, labda hilo ndo swala la kunishutumu kama unataka kunishitumu.
Mkuu hivi umeshawahi kuwa mpweke, watoto ni hazina ya baadae kama hujui. One day at an old age utatamani kuiona damu yako, utatamani kuwaona wajukuu zako wakiruka ruka around, hata kama unaona at 29 hutamani then at 60 utajuta kwa upweke utakao kuwa nao tena usiombe mkeo afe mapema kbl yako unajikuta uko peke yako mzeebaba. Sina hakika kama unanielewa mkuu
 
Mkuu hivi umeshawahi kuwa mpweke, watoto ni hazina ya baadae kama hujui. One day at an old age utatamani kuiona damu yako, utatamani kuwaona wajukuu zako wakiruka ruka around, hata kama unaona at 29 hutamani then at 60 utajuta kwa upweke utakao kuwa nao tena usiombe mkeo afe mapema kbl yako unajikuta uko peke yako mzeebaba. Sina hakika kama unanielewa mkuu
Wewe unamjua huyu mtu kuliko anavyojijua yeye mwenyewe?
 
Wewe unamjua huyu mtu kuliko anavyojijua yeye mwenyewe?
Simjui ila kwakuwa kataka maoni yetu then najaribu kutengeneza picha fln kichwani mwake, kama anadhan mwanamke ni kwaajili ya ngono tu then sikumoja ngono haitakuwa ya muhimu akigundua kuna vitu vimemiss kwenye maisha yake, otherwise awe abnormal
 
Simjui ila kwakuwa kataka maoni yetu then najaribu kutengeneza picha fln kichwani mwake, kama anadhan mwanamke ni kwaajili ya ngono tu then sikumoja ngono haitakuwa ya muhimu akigundua kuna vitu vimemiss kwenye maisha yake, otherwise awe abnormal
Kwani wapi kasema mwanamke ni kwa ajili ya ngono tu?

Yani umeshindwa kumsoma mtu kwa ufahamu tu, utaweza vipi kutengeneza picha ya kichwani kwake vizuri?

Wewe una mawazo yako unayompandikizia mtoa mada.

Na kwa sababu hiyo, hujamtendea haki.
 
Screenshot_2020-10-28 What's new(1).png


Ndiyo!!​
 
Mkuu hivi umeshawahi kuwa mpweke, watoto ni hazina ya baadae kama hujui. One day at an old age utatamani kuiona damu yako, utatamani kuwaona wajukuu zako wakiruka ruka around, hata kama unaona at 29 hutamani then at 60 utajuta kwa upweke utakao kuwa nao tena usiombe mkeo afe mapema kbl yako unajikuta uko peke yako mzeebaba. Sina hakika kama unanielewa mkuu
Umefikiria jinsi ambavyo watoto wanaweza kuwa chanzo cha wewe kukosa amani. Hasa ambapo hawakusikilizi, wamejifunza tabia mbaya, wanaishi maisha ya kukutia aibu ukubwani.
 
Back
Top Bottom