GE2020 Wana Mbeya Tumekukataa Mh. Tulia

Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
Unajua maana ya ushawishi!
 


Ndaga tununu.
 
Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
Maendeleo unayatafuta mwenyewe usitegemee kuletewa na mbunge utasubiri sana
 
Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
Una maana na gani?
Yaani nchi hii tumeigawa kuwa wale waliwachagua wapinzani wasiletewe maendeleo, vipi kodi zao wachukue au nazo waziache?
 
Kama mkitaka maendeleo mbeya nendeni na Tulia coz anaushawishi mkubwa kwenye serikali hii ya awamu ya Tano, ila kama no ushabiki basi zichangeni karata deny vintage.
[/QUOTE

Kumbe maendeleo sio haki ya wananchi, bali ni kwa upendeleo wenye ushawishi
 
Sio tu kirusi bali kirusi hatari,Mtu anashindwa kufadhiri vikundi vya akina mama kuanzisha taasisi ya kusomesha watoto wa wajane eti anaanzisha Taasisi ya Marathon asee only in TZ.
 
Betina hafai hata kidogo.
 
Mliotumwa humu mnajisumbua bure kwasisi wakazi wa Mbeya hadudanganywi tunataka maendeleo na Dr Tulia ameonyesha mfano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…