Utanikuta nakusubiri, umesema umevaa shati la njano , suruali nyekundu na raba za blue eeh?..
Aah kumbe nilikuchanganya na huyo jirani yako uloketi nae, umetoka sana DM... Unajua kupangilia rangi lol.Umeona vibaya, shati la machungwa, suruali ya pink na viatu vyekundu na koti kuubwa la njano. Nimetoka eeh?
Mwaka huu kazi yangu kubwa kupokea wageni mikoani... Akitokea wa mbeya pia atanikuta stand...sawa kabisa
Unategemea DM akisoma ataelewa? Khaaa!2po cwa xana, ukirudi ntakupa offer ya kukupeleka kaumba 4 dis nyt upumzishe akili yako.
Nisaidie anamaanisha nini manake naona umemwelewa!.. 2po - tupo, cwa -???, xana - sana???Hahaha, kama ambavyo sharobaro hanywi sayona, na mie kaumba hata kwa bastola kichwani siendi
Anko mkare mtu wangu lol... Mbona hufiki, jua linazidi kuwa kali bana afu mie sijabeba hata hela ya maji.Nlifundishwa na anko angu, tozi wa enzi zile za kuchana way.
Anko mkare mtu wangu lol... Mbona hufiki, jua linazidi kuwa kali bana afu mie sijabeba hata hela ya maji.
Ulikuja kimya kimya ndio mana... Afu si una ile namba ya airtel mbona hukupiga?Mbona nilikuja huko juzi hata hukunipokea, nikakaa pale mwanjelwa na mabegi yangu mpaka nikachoka.
Hiyo niliyobeep nayo ndio yenyewe...nitumie chapu nipooze koo.Pole jaman, nenda hapo pembeni ya msamvu kuna kibanda cha makuti unywe maji tani yako dearest, au nitumie no yako ya voda niku m-pesa,
Na kwanini akufanye utumie jitihada zote hizo wakati anajua kuandika vizuri?... Sipendi masharobaro wa mwandiko mie!Nimejitahidi kumuelewa. . .yani, mi si multi-talented.