maarifa ya mawasiliano/stadi za mawasiliano...!
ni mbinu na njia mbalimbali za namna ya kuwasiliana katika mazingira tofauti! mfano: mzaza na mtoto,mwalimu na mwanafunzi,mfuasi na kiongozi, na kadhalika
katika somo hili utajifunza namna ya kuuliza,kuandika barua(KIKAZI/KIBIASHARA),kupiga na kupokea simu na mengineyo mengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.