O Old Moshi Senior Member Jul 31, 2011 118 32 Aug 4, 2011 #1 ivi fixed account zina riba ya kuridhisha au ni ubabaishaji. Ningependa kuinvest huko kama kuna faida
ivi fixed account zina riba ya kuridhisha au ni ubabaishaji. Ningependa kuinvest huko kama kuna faida
Kobello JF-Expert Member Feb 20, 2011 8,637 7,920 Aug 4, 2011 #2 Nunua dhahabu na shaba,halafu zisahau kwa miaka kumi.
O Old Moshi Senior Member Jul 31, 2011 118 32 Aug 4, 2011 Thread starter #3 kobello said: Nunua dhahabu na shaba,halafu zisahau kwa miaka kumi. Click to expand... <br /> <br /> sina ujuzi nazo naogopa kupigwa tukio. Vilevile am in college sitakua na muda wa kumanage bussines yangu.
kobello said: Nunua dhahabu na shaba,halafu zisahau kwa miaka kumi. Click to expand... <br /> <br /> sina ujuzi nazo naogopa kupigwa tukio. Vilevile am in college sitakua na muda wa kumanage bussines yangu.