Be it umeisikia Radio One, Au umeambiwa na "reliable source", Au umeiona CNN, Au umeambiwa na MKEO over the phone, BADO ni Breaking News! Huwa hamna "detailed breaking news"! Otherwise itakuwa siyo "breaking news" - right?
Cha msingi ni kuwa unapotoa "breaking news" unatakiwa kadri muda unavyosonga uendelee kutoa updates na hadi wakati ambao itakuwa unazo "details" za kutosha then inakuwa "news"!