Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Breaking news!!!!!!!!
Kakakiiza akemea watu kutumia vibaya neno "breaking news"
Nisawa lakini usiseme ni Breaking news!!Sema habari niliyoisikia chanzo fulani...........!Never say Breaking news while is not Breaking News!!Jamani wengine tuko mbali na mahali pekee pa kupatia hizo breaking news ambazo wengine zinawakera ni kupitia JF. Huku tuliko Radio One hatuwezi kuisikia, ingawa tunaweza kupata ITV mtandaoni, lakini ni mpaka tukiwa tumetulia majumbani mwetu. Wakati huo huo JF tunayo wakati wote. Samahani kwa kuwakera wengine lakini tunaomba mtuachie nasi hiyo nafasi ya kuzipata breaking news humu jamvini. Tanzania ni yetu sote!:dance:
Baadhi ya Wana JF Bwana mtu kasikia Radio one Breaking News Naye anleta humu eti nayo ni breaking News!!
Haya tujipange kuwa na habari motomoto siyo Kila kitu ni breaking News zingine ni Broken news wewe unaleta hapa upate Coverage!!:nono:
Nisawa lakini usiseme ni Breaking news!!Sema habari niliyoisikia chanzo fulani...........!Never say Breaking news while is not Breaking News!!
Breaking news mimi ninavyojua ni habari inayokuja kutoka sehemu yatukio bila kupitia chanzo chochote ikiwa wewe ndiye wakwanza kuitoa au unamtoa habari yupo sehemu yatukio anaendelea kutoa habari zilizojili!Na siyo habari imetoka baada ya masaa4 unakuja nayo hapa unasema ni breaking news labda utwambie habari zilizopo au latest story!Be it umeisikia Radio One, Au umeambiwa na "reliable source", Au umeiona CNN, Au umeambiwa na MKEO over the phone, BADO ni Breaking News! Huwa hamna "detailed breaking news"! Otherwise itakuwa siyo "breaking news" - right?
Cha msingi ni kuwa unapotoa "breaking news" unatakiwa kadri muda unavyosonga uendelee kutoa updates na hadi wakati ambao itakuwa unazo "details" za kutosha then inakuwa "news"!
Nikweli hapo kunalive news na latest newsUnachanganya vitu viwili tofauti!
"Habari uliyoisikia sasa hivi" ni tofauti na "Habari kuhusu kinachotokea sasa hivi" - sawa?
Pole kwahilo yawezekana nimekukwaza lakini siyo nia yangu kukwaza zaidi nikujulishana kuhusu hilo!!We kaka Kiiza samahani sana!! Hivi unafikiri kila m2 huwa anasikiliza redio one? Inaonekana we mchoyo/mbinafsi inamaana m2 anapokuwa amepata habari mpya iwe redioni, Tv au gazetini atakuwa amepata dhambi gani iwapo ataamua ku2juza sisi wana JF ambao baadhi ye2 hata hiyo redio one kuipata tu mpaka uende mkoani?