Wana JamiiForums, basi za Sumry ziko wapi?

Wana JamiiForums, basi za Sumry ziko wapi?

Sasa hivi zimebadilishwa majina ninayo ifaham mimi kwasasa inaitwa mbeya express
 
Sumry alishwfilisiwa mabasi yake yote, kwa sasa yapo chini ya Receiver, hii ni baada ya kushindwa kulipa deni alilokopa bank...

Mnakumbuka lile sakata la yule mwanamke aliekaaga juu ya paa la nyumba baada ya bank kutaka kuuza nyumba kule Mbezi???
 
Mnakumbuka lile sakata la yule mwanamke aliekaaga juu ya paa la nyumba baada ya bank kutaka kuuza nyumba kule Mbezi???

Natumaini Sumry hatakaa juu ya basi..........
 
Kingkong isikosesikuyamnada

Tusafishe.nyota kwenyeukoo tuliwahi kununua basi zikafa
 
Natumaini Sumry hatakaa juu ya basi..........

U don't know about this story Preta, Sumry alikopa bank kwa udhamini wa yule jamaa mwenye nyumba ya Mbezi, akashindwa kulipa...bank wakataka kupiga mnada ile nyumba iliyodhaminiwa....mke akaja juu kupinga uuzwaji wa nyumba na ndio maana akapanda juu ya paa😎
 
Last edited by a moderator:
U don't know about this story Preta, Sumry alikopa bank kwa udhamini wa yule jamaa mwenye nyumba ya Mbezi, akashindwa kulipa...bank wakataka kupiga mnada ile nyumba iliyodhaminiwa....mke akaja juu kupinga uuzwaji wa nyumba na ndio maana akapanda juu ya paa😎

O o o........sasa nimekupata.........asante kwa ufafanuzi............
 
O o o........sasa nimekupata.........asante kwa ufafanuzi............

Stay blessed Preta...kwny biashara za mabasi kuna dramas nyingi sana, kumbuka walichokipata Scandinavia...🙁
 
Last edited by a moderator:
Mkuu naiona moja inapitaga hapa barazani kwangu imeandikwa Mbeya Express.
 
Back
Top Bottom