ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 510
- 213
Kwa anayejua atujuze.Mi huo ndo usafiri wangu
zinavusha abiria kwenda pemba na unguja
Zikobenki mpwaaa
kama usafiri wako huwa unayapatia wapi????
njoo pm nimelificha moja
Kuna wanaodai ndiyo Mbeya Express.
Kuna moja naliona linaenda Bukoba Kama sikosei.....
Kwa anayejua atujuze.Mi huo ndo usafiri wangu
zinavusha abiria kwenda pemba na unguja