wana IT hili linawezekana kweli?

gumya

Member
Joined
Mar 4, 2015
Posts
92
Reaction score
22
Habari zenu,,
Hivi katika website kuna uwezekano wa kudetect inchi ambayo mtembeleaji anatokea na aweze kuona content za nchi yake tu? Mfano kama hapa jamiiforums pangekuwa panajumuisha watu kutoka nchi zote duniani halafu wewe kama mmiliki wa jamiiforums ukataka labda watembeleaji wote wa kutoka Tanzania wakutane/waone post za watanzania tu na kama watembeleaji wanatokea nchi nyingineyo basi waone/wakutane na post za watu wa nchi yao tu... Je, hilo linawezekana? namna gani linawezekana?
 
inawezekana mkuu, kuna add ons unaweka kulingana na mtandao au website unayotumia hivyo hiyo add ons itakusaidia kufanya hayo unayo yataka...
 
Inawezekana kwa kutumia IP filters.

Ila mtu akitaka anaweza kuzichenga hizo IP filters, kwa mfano, mtu anaweza kuwa Tanzania lakini kwenye mtandao akaonekana kama yuko Marekani. Au mtu yupo Marekani lakini kwenye mtandao akaonekana kama yupo Tanzania.

Kwa kutumia VPN - Virtual Private Network kama www.hide.me

Unachagua nchi yoyote unayotaka kuonekana kwamba upo na mtandaoni unaonekana unatoka nchi hiyo.
 
Hayo makitu ni rahisi mno hakuna kitu kigumu
 
Yaani mkuu kuna shushu ananfatilia vip inawezakana kwa mtando ninaotumia asijue nipo mkoa gan maana too much sasa
 
Inawezekana kwa kiasi fulani ndo kampuni kama Netflix na youtube wanavyofanya kuzuia video zisionekane baadhi ya nchi. Sana sana wanatumia IP address kujua upo wapi, inaitwa geoblocking.
 
Yaani mkuu kuna shushu ananfatilia vip inawezakana kwa mtando ninaotumia asijue nipo mkoa gan maana too much sasa
Hiyo link ya www.hide.me unalipia dola 140 kwa mwaka (at least mimi nililipia hivyo mwaka jana) unakuwa ukiingia mtandaoni unaweza kubadilika kuwa huonekani kwamba uko nchi uliyopo, ukachagua nchi nyingine.Habari zako zote zinakuwa scrambled na VPN mtu kukudukua inakuwa vigumu.

Kuna VPN nyingine za bure, lakini zinakuwa slow kidogo na haziaminiki sana uimara na reliability yake.

Kwa dunia ya sasa kuwa na VPN ni lazima kama mtu unajua unaweza kufuatiliwa online.
 
Google wana api za hiyo ishu, Mfano unataka geolocation then, chakwanza kama unatumia php [programing language ] uta detect user ip address then una istore kwa google api then kwenye content zako unachofanya ni if and else tu. na kila ktu kitakua poa
 
Google wana api za hiyo ishu, Mfano unataka geolocation then, chakwanza kama unatumia php [programing language ] uta detect user ip address then una istore kwa google api then kwenye content zako unachofanya ni if and else tu. na kila ktu kitakua poa
Thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…