ni ukwel ulisemalo, ila sio tatizo la I.T bali kwa ujumla hizi elimu ni ngumu kwetu na wachache wamejifunza kadri mdaunavokuwa mkubwa watuwataelewa nin I.T tunaanza na simu then tutakuja kwenye the whole system, jiulize swali hili moja tu, JE? KWA MWAKA MMOJA ULIOPITA JF IMEDEVELOP NINI KATIKA MUONEKANO WAKE, UFANISI WAKE,