ndio tunachoombewa na viongozi wetu , dunia ya magharibi inaingilia kati kwa kutuchelesha kufikiahuko . Fikiria mfano huu: makusanyo yetu ya ndani trilions 6. bajeti ya matunizi ya kawaida tr.8!!! dunia ya magaribi imeongeza tr.2 walipane posho, na pia wameongeza tr. 4 na ushee za " maendeleo". hapo ni nani anataka tuliwe na tai???