Wana haki ya kumtimua kocha, maana magoli yamefungwa kwa hisani ya GSM

Tarehe 18 ndio kidomodomo cha mbumbumbu fc kinakwenda kukoma kabisa katika msimu huu, kitakacho fuatia ni malalamiko tu.
 
hana kosa wachezaji viwango duni we jiulize wachezaji wa kigeni wa yanga walioitwa kwenye timu zao za taifa ni wangapi?
Mawazo kama haya ndo inasababisha watu wenye busara zao kuachana na soka la bongo na kubakia kuwa watazamaji na wapenda soka tu.
 
Nafikiri hakuwa chaguo la kwanza alikuja kwa dharura baada ya yule mburundi kuwa amezingua ikabidi atafutwe kocha kwa udharura bila vetting ya kutosha
kocha wa dharura ni huyu ama ni yule aliekupeni majina ambayo hamkuyapenda mkamtimua
 
Kibongo bongo hutakiwi kushangaa,timu inafanya vizuri kwa mara ya kwanza tena kipindi cha pili baada ya misuko suko ya kutosha,kisha unasikia kocha amefukuzwa.

Nini kipo nyuma ya maamuzi haya?

Watu waliona ili watengeneze mazingira ya kushawishi wapenzi wa Yanga wajae siku ya mechi ya tarehe 18,ilikuwa muhimu yanga kushinda leo.
Mpaka sasa yanga wana amini watashinda mechi ya Simba pia.Wamejinasibu ukuta mgumu,ila hawakuangalia ni nani alikuwa akicheza nao.
Kwa hiyo ilibidi mchezo uchezwe nje ya uwanja baada ya kuona kocha ameshindwa kuleta matokeo.

Hongera gsm.
Inaelekea una uzoefu wa mechi nje ya uwanja
 
Kila kitu kina ushahidi sema wanaoujuwa ukweli huwa wanaamuwa kukaa kimya tu.
Screenshot_20201004-030804.jpg
 
Uo ukuta ndio uliocheza na mtibwa sugar na hukufugwa gori hata moja ikiwa timu yako ilifugwa na mtibwa sasa unabeza nini sasa ukuta wa yanga unajitahidii na wanashambuliwa kweri kweri na wanajua kuzuia angalia hata gem na mtibwa wape sifa zao acha ushabikii
Rudi shule ukasome namna ya kuandika vizuri kwanza Ebooo
 
Uo ukuta ndio uliocheza na mtibwa sugar na hukufugwa gori hata moja ikiwa timu yako ilifugwa na mtibwa sasa unabeza nini sasa ukuta wa yanga unajitahidii na wanashambuliwa kweri kweri na wanajua kuzuia angalia hata gem na mtibwa wape sifa zao acha ushabikii
Mtibwa si mlipaki basi baada ya goli
 
Mawazo kama haya ndo inasababisha watu wenye busara zao kuachana na soka la bongo na kubakia kuwa watazamaji na wapenda soka tu.
Unaaachana na soka la bongo unashabikia soka gani?
Calm down wambie utopolo walinunua wachezaji wa hovyo.
 
Tarehe 18 ndio kidomodomo cha mbumbumbu fc kinakwenda kukoma kabisa katika msimu huu, kitakacho fuatia ni malalamiko tu.
Kwa serikali ip? Ya JPM. Kwa TFF ip? Huu sio utawala wa mkwere JK na rafiki yake MALINZI. Zama zenu hz kuumizwa. Mtakerwa sn
 
Kweri kweri ❌❌❌😳😳😳😳😳 mkiambiwa elimu ni muhimu mnakuwa wabishi.

Uo ukuta ndio uliocheza na mtibwa sugar na hukufugwa gori hata moja ikiwa timu yako ilifugwa na mtibwa sasa unabeza nini sasa ukuta wa yanga unajitahidii na wanashambuliwa kweri kweri na wanajua kuzuia angalia hata gem na mtibwa wape sifa zao acha ushabikii
 
Uo ukuta ndio uliocheza na mtibwa sugar na hukufugwa gori hata moja ikiwa timu yako ilifugwa na mtibwa sasa unabeza nini sasa ukuta wa yanga unajitahidii na wanashambuliwa kweri kweri na wanajua kuzuia angalia hata gem na mtibwa wape sifa zao acha ushabikii
Hapana.
Mechi ya Simba na Mtibwa Wawa hakucheza.
Walicheza Onyango na Kennedy.
Ukuta wa Onyango na Wawa ndio ukuta Zege.
Na ndio ukuta utakaoizuia Yanga kushindwa kupata hata goli la kufutia machozi tarehe 18.
 
Wakumbuke kumlipa kocha walie mtimua pesa zake bila hivyo atawashitaki FIFA. Yule Zahera mpaka leo hajalipwa akidai pesa zake mitandaoni.
 
Back
Top Bottom