Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,300
- 2,716
Lazima kuwe na mkakati unaoleweka wa kupeleka vijana nje ya nchi kwa njia zinazokubalika kisheria.
Mfano India kuna collaboration kati ya Diaspora na walionyumbani kuwatoa nje ya India ikiwa ni kukabiliana na tatizo la ajira, Utaalamu na elimu. Hili hata wakenya, Waghana, Nigeria, Ivorians almost West Africa yote wana tabia hiyo. Je Diaspora wa Tanzania wanajisikia fahari kuunganisha nguvu kuwatoa vijana nje ya nchi? Hapa wahindi unawaona wengi wameletwa na wenzao .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano India kuna collaboration kati ya Diaspora na walionyumbani kuwatoa nje ya India ikiwa ni kukabiliana na tatizo la ajira, Utaalamu na elimu. Hili hata wakenya, Waghana, Nigeria, Ivorians almost West Africa yote wana tabia hiyo. Je Diaspora wa Tanzania wanajisikia fahari kuunganisha nguvu kuwatoa vijana nje ya nchi? Hapa wahindi unawaona wengi wameletwa na wenzao .
Sent using Jamii Forums mobile app