Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,305
- 33,924
Kila mara hapa JF watu wanaoonekana kuwa Upande wa CCM ama Serikali hulaumu sana watu wanaoikosoa serikali ama CCM kwa hoja kwamba wanaoikosoa Serikali na CCM huwa hawaoni Mema na Mambo Mazuri yanayofanywa na Serikali au CCM? Wanahoji ni kwa nini kila siku kuna watu kazi yao ni kukosoa tu hata siku moja hawaisifii CCM ama Serikali inayoongozwa na CCM?
Leo ni nafasi ya wana CCM na waunga mkono Serikali nao kuorodhesha Mambo mazuri na ya kimaendeleo pamoja na mema yanayofanywa na upande wa Upinzani Hususani UKAWA!
Ni kazi ya Comred Paul Makonda yule mnaemwita anaejipendekeza.Hata usafi wa Dar aliouona YEHODAYA wewe huuoni?
Aliyesema mfanikio ya Upinzani ni Usafi wa Dar siyo mimi ni YEHODAYA kama utaka kumkanusha mkanushe jamaa yako na usishambulie tusiohusika. Kwenye uzi huu sisi wengine ni watazamaji tu. Kwa ivo kwa maoni yako hakuna jambo la maana ambalo upinzani umefanya!?Sasa mmeona mafanikio mnayarukia.Hatujawahi kusikia meya wa chadema au kubenea wakipaza sauti kufanya usafi,ni Paul Makonda anaetumia nguvu za kisheria kuwahamasisha watu wafanye usafi
hakunaAliyesema mfanikio ya Upinzani ni Usafi wa Dar siyo mimi ni YEHODAYA kama utaka kumkanusha mkanushe jamaa yako na usishambulie tusiohusika. Kwenye uzi huu sisi wengine ni watazamaji tu. Kwa ivo kwa maoni yako hakuna jambo la maana ambalo upinzani umefanya!?
Chama kinapo omba ridhaa ya kuongoza nchi ni sawa na baba kwenye familia.yaani ni wajibu wake kwa mwanae kumtunza,kulea kumpa elimu afya na maisha bora kwahiyo chama au serikali inapoyatimiza hayo kwa wananchi wake hakuna haja ya kusifiwa kwakuwa ndio wajibu wake. kazi ya wapinzani ni kuzungumzia yale mapungufu hata kama ni madogo kiasi gani kwamfano baba kamnunulia mtoto kiatu cha ngozi bila sox wapinzani watalaumu kutonunuliwa sox bila kujali gharama ya kiatu. Tanzania tumefika hapa kutokana na utawala wa ccm. majizi mafisadi matumizi mabaya ya ofisi yamefanywa na CCM na Serikali maana wao ndio wapo madarakani.kwakuwa awamu ya tano inapambana na madudu ambayo yamekuwa yakipigiwa kelele na wapinzani kwa awamu zilizo tangulia hatuwezi kusifia kwakuwa amesikia kelele za wapinzani ameamua kuanza kubadilika na kutimiza wajibu wake kwa wananchi.sifa atapata kama atakomesha mikataba inayoendelea kutunyonya kama IPTL,LUGUMI,MADINI,UDA N.KKila mara hapa JF watu wanaoonekana kuwa Upande wa CCM ama Serikali hulaumu sana watu wanaoikosoa serikali ama CCM kwa hoja kwamba wanaoikosoa Serikali na CCM huwa hawaoni Mema na Mambo Mazuri yanayofanywa na Serikali au CCM? Wanahoji ni kwa nini kila siku kuna watu kazi yao ni kukosoa tu hata siku moja hawaisifii CCM ama Serikali inayoongozwa na CCM?
Leo ni nafasi ya wana CCM na waunga mkono Serikali nao kuorodhesha Mambo mazuri na ya kimaendeleo pamoja na mema yanayofanywa na upande wa Upinzani Hususani UKAWA!
Afadhali tumejua kumbe kwa maoni yako upinzani hakuna jambo jema ama la kimaendeleo walilofanya!!hakuna
Hivi kweli wana CCM mmeshindwa kuona jema lolote la UKAWA!!Zaidi ya matusi na hivi mmemuingiza mtaalam wa matusi mange kunambwe, sijaona lingine la maana toka kwenu!
Ebu kwanza orodhesha mambo mazuri matano (5) yaliyofanywa na Serikali nami nisifie matano (5) yaliyofanywa na Ukawa.Kila mara hapa JF watu wanaoonekana kuwa Upande wa CCM ama Serikali hulaumu sana watu wanaoikosoa serikali ama CCM kwa hoja kwamba wanaoikosoa Serikali na CCM huwa hawaoni Mema na Mambo Mazuri yanayofanywa na Serikali au CCM? Wanahoji ni kwa nini kila siku kuna watu kazi yao ni kukosoa tu hata siku moja hawaisifii CCM ama Serikali inayoongozwa na CCM?
Leo ni nafasi ya wana CCM na waunga mkono Serikali nao kuorodhesha Mambo mazuri na ya kimaendeleo pamoja na mema yanayofanywa na upande wa Upinzani Hususani UKAWA!
Baelezee! Wasione vyaelea!Ni kazi ya Comred Paul Makonda yule mnaemwita anaejipendekeza.
Dar Mpya,Dar ya Makonda,Mti wangu Nyumba yangu
Wakati watu wanalazimishwa kufunga biashara na kufanya usafi mlibeza na kupinga humu,kuna mchaga mmoja wa pale stendi ya ubungo alifungua thread humu akimtukana Makonda kwa kumlazimisha afunge duka hadi saa 4,wakati asubuhi ndio muda wa biashara.
Sasa mmeona mafanikio mnayarukia.Hatujawahi kusikia meya wa chadema au kubenea wakipaza sauti kufanya usafi,ni Paul Makonda anaetumia nguvu za kisheria kuwahamasisha watu wafanye usafi