wana ccm njooni tuokoe chama chetu

wana ccm njooni tuokoe chama chetu

d tarimo

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2015
Posts
918
Reaction score
516
Tulitangaza timu ya ushindi ya watu 32 tena kwambwembwe
leo timu ya ushindi iko wapi kazi gani wanafanya

nachokiona sasa leo timu ya kampeni imekuchukuliwa na wasanii wa bongo movi na bongo fleva tena ambao hawana weledi wala ushawishi kwa wananchi
yamoto band:hii ni bend ya watoto nawapenzi wake ni watoto
TOT:hii ni bend ya watu fulan tena wachache sana
TMK hili kundi lisha sahulika kimziki
diamond ndo kwanza kaaribu chama chetu
tunawaacha wasanii kama kina roma ledy jaydee kala jeremah jay wa mtulinga sir nature nk
wanachama wezangu njooni tuokoe chama chetu
 
Tulitangaza timu ya ushindi ya watu 32 tena kwambwembwe
leo timu ya ushindi iko wapi kazi gani wanafanya

nachokiona sasa leo timu ya kampeni imekuchukuliwa na wasanii wa bongo movi na bongo fleva tena ambao hawana weledi wala ushawishi kwa wananchi
yamoto band:hii ni bend ya watoto nawapenzi wake ni watoto
TOT:hii ni bend ya watu fulan tena wachache sana
TMK hili kundi lisha sahulika kimziki
diamond ndo kwanza kaaribu chama chetu
tunawaacha wasanii kama kina roma ledy jaydee kala jeremah jay wa mtulinga sir nature nk
wanachama wezangu njooni tuokoe chama chetu

#Torokauje.
 
kwendeni zenu uko magamba, watu wenyewe mnasombea na malori
 
Hapa kazi tu.timu ya kampeni ya ccm ipo imara kuliko wakati wote.labda jamaa zetu wa chadema naona ndio hali si shwari.jana nilikuwa mererani lowassa yupo na sumaye na jamaa mmoja anaitwa mrema baas.Mbowe , mnyika , lissu wote wamekula kona baada ya kuuza Chama.lowassa anahangaika kwa sasa pesa hazitoshi kazi bado ngumu na waliomuuzia Chama wamekimbia.mzee ana hali ngumu sana.
 
Back
Top Bottom