Wana-CCM mwenye nguvu okoeni Taifa

Wana-CCM mwenye nguvu okoeni Taifa

Mjema Vushanje

Senior Member
Joined
Sep 24, 2017
Posts
158
Reaction score
355
WANA CCM WENYE NGUVU LIOKOENI TAIFA!
Naandika hii makala nikijua kwamba watakaonielewa ni WATANZANIA PEKEE, sio watu wa CCM wala watu wa CHADEMA bali WATANZANIA PEKEE.

Ninaposema wana CCM wenye Nguvu simaanishi, JPM, simaanishi Samia, simaanishi Majaliwa na wala simaanishi Bashite, namaanisha wanaCCM wenye nguvu.

Naomba ieleweke kuwa mpaka kufikia 2015 watu waliokuwa na nguvu katika siasa za Tanzania ukiwaacha wapinzani ni Lowassa na Kikwete, nyuma yao kwa mbali alikuwepo BENARD CAMILIUS MEMBE. Leo hii Lowassa yuko CHADEMA na Kikwete amestaafu urais yaani amemaliza muda wake Huku ndani ya ccm Akiwa amebaki Bernard Membe!

Ni nani hasa mwanaCCM mwenye nguvu kwa sasa? Sio mwingine bali ni BENARD MEMBE. Wapo ambao wanaweza wakakataa na kupinga hili lakini nawaambia kuwa JPM anamuhofia B Membe kuliko mwanasiasa mwingine yeyote katika hii nchi! Tuyaache kwanza haya!

Kwasababu naongelea TANZANIA kuokolewa ni lazima niseme Tanzania inaokolewa kivipi na inaokolewa kutoka kwenye nini.

Ni ukweli usiokatalika kuwa nchi yetu iko kwenye hali ambayo sio nzuri, Tanzania iko kwenye hali ambayo ni lazima iokolewe kwa manufaa ya leo na kesho.

Ni nani aliye huru kwasasa?

Wapo wanaoweza kusema kuwa wako huru lakini waupime uhuru wao kwa kusema tofauti na watawala wao na ndio watajua kuwa ninamaanisha nini?
Kuna ambao wapo CCM na wanafikiri kwao sio tatizo lakini nawaambia kuwa kwakuwa kuna makosa mengi tu yanayofanyika ndani ya CCM na ndani ya utawala huu basi wajaribu kukosoa ili waupime uhuru wao, kama Wanadhani kuwa huru ni kukubali bila kukosoa basi nawaambia kuwa huo sio UHURU.

Nina mifano michache ya kuwaonyesha wana CCM jinsi ambavyo nao vilevile hawako huru.

1.Unanjua ni kwanini Nape aliondoka kwenye uwaziri, alijaribu kuonyesha kuwa yuko huru kumbe hayuko huru!

2.Unajua kwanini BASHE, MUSUKUMA na MALIMA waliwekwa ndani wakati wa kikao cha NEC, Walidhani wako huru kama wewe unavyodhani.

3.Umewahi kujiuliza kuhusu SADIFA wakati wa uchaguzi wa UVICCM juzi? Kama hukujiuliza jiulize!

4.Umewahi kujiuliza kwanini Meya wa Jiji la mwanza aliwekwa ndani hadi msafara wa mheshimiwa ukapita kwanza? Jiulize leo.

Unaijua hali ya KINANA?

Ndugu zangu sitaki niseme mengi ila kama tu ndani ya chama kuna hali isiyosemwa waziwazi je kwingine? Ukweli ni kwamba kwasasa kuna haja ya kutafuta watu wenye uwezo wa kubadili mambo kabla hatujajuta zaidi.

Nijuavyo mimi hakuna kitu kikubwa kama uhuru, wakati wakoloni wanatutawala kila kitu tulipata na kama tungewaacha mpaka leo basi tungekuwa na maendeleo makubwa kuliko lakini tulikosa UHURU pekee.

Kwa hali iliyopo kwasasa ni nani yuko salama? Hata kama yuko salama mmoja wetu je? Anafurahi mtindo huu? Anafurahia yeye kuwa salama ilihali taifa liko katika hali hii?

Ndugu zangu ni ukweli usiopingika kuwa katiba ya nchi yetu inamruhusu aliyeko madarakani kuwa kama Mungu wa duniani, kwa hali hii yeyote atakayekuwa tofauti nae awe wa chama chake ama wa chama kingine basi ujue nae hatokuwa salama nah ii maana yake ni kwamba ikiwa kila mtu atataka kuwa salama basi asiwepo mkosoaji hata mmoja.

Sasa namuita MEMBE huko alipo aje, simwambii cha kufanya kwasababu najua anajua cha kufanya, ila asiruhusu ipite 2020 kabla hajajitokeza na kufanya jambo.

Ni wazi kuwa yeye ndie mwenye nguvu kwa wakati huu ya kubadilisha mambo, niyeye pekee ambaye akiinuka leo kutakuwa na msururu wa watu nyuma yake hata hawa watakaopinga andiko langu.

Asifanye hivi kwa manufaa ya chama ama yeye binafsi bali kwa manufaa ya nchi, akisubiri wapinzani wafanye watafanyia wapi? WATAFANYIA WAPI?

1. Hawaruhusiwi mikutano ya hadhara.

2. Wanaondolewa kwenye vyyama vyao kwa mbinu nyingi ambazo zingine siwezi kuzisema.

3. Ukifanyika uchaguzi wowote hawawezi kushinda kwasababu hawatakubaliwa kushinda japo kwa idadi ya kura huwa wanashinda.

4. Wakisema wanawekwa ndani.
Wakisema ni Pyuu, Pyuuuu
Katika hali kama hii nchi haiwezi kuwa na maendeleo na hata yakiwepo kidogo yatakuwa sio ya wananchi na wala hawatakuwa na furaha nayo.

MEMBE ukishindwa mtume hata JANUARY!
1120f78158fc9931ac58540c1967a6b5.jpg
 
Ngoja wa Lumumba wachafukwe uone mawe yatskayoelekezwa kwako. Ila uwe mvumilivu.

Mimi, binafsi nimeipenda hoja yako na nimewahi kuandika humu jamvini kuhusu hilo jambo. Mimi kama wewe diamini kuwa hata hawa wazee wastaafu wanafurahia jinsi nchi inavyoongozwa na ninawashangaa kwa ukimya wao ambao yawezekana ni kwa sababu wana kinga inayolindwa na raisi. Member anaweza asiwe na kinga lakini anaweza kusaidiwa na wenye kinga ili kuweka mambo sawa kabla ya 2020.

Je, atafanyaje? Agenda ya kuendelezwa kwa mchakato wa katiba lazima iendelezwe na midahalo ya kitaifa kuhamasishwa na kampeni za Ukuta kuungwa mkono!
 
Una
WANA CCM WENYE NGUVU LIOKOENI TAIFA!
Naandika hii makala nikijua kwamba watakaonielewa ni WATANZANIA PEKEE, sio watu wa CCM wala watu wa CHADEMA bali WATANZANIA PEKEE.

Ninaposema wana CCM wenye Nguvu simaanishi, JPM, simaanishi Samia, simaanishi Majaliwa na wala simaanishi Bashite, namaanisha wanaCCM wenye nguvu.

Naomba ieleweke kuwa mpaka kufikia 2015 watu waliokuwa na nguvu katika siasa za Tanzania ukiwaacha wapinzani ni Lowassa na Kikwete, nyuma yao kwa mbali alikuwepo BENARD CAMILIUS MEMBE. Leo hii Lowassa yuko CHADEMA na Kikwete amestaafu urais yaani amemaliza muda wake Huku ndani ya ccm Akiwa amebaki Bernard Membe!

Ni nani hasa mwanaCCM mwenye nguvu kwa sasa? Sio mwingine bali ni BENARD MEMBE. Wapo ambao wanaweza wakakataa na kupinga hili lakini nawaambia kuwa JPM anamuhofia B Membe kuliko mwanasiasa mwingine yeyote katika hii nchi! Tuyaache kwanza haya!

Kwasababu naongelea TANZANIA kuokolewa ni lazima niseme Tanzania inaokolewa kivipi na inaokolewa kutoka kwenye nini.

Ni ukweli usiokatalika kuwa nchi yetu iko kwenye hali ambayo sio nzuri, Tanzania iko kwenye hali ambayo ni lazima iokolewe kwa manufaa ya leo na kesho.

Ni nani aliye huru kwasasa?

Wapo wanaoweza kusema kuwa wako huru lakini waupime uhuru wao kwa kusema tofauti na watawala wao na ndio watajua kuwa ninamaanisha nini?
Kuna ambao wapo CCM na wanafikiri kwao sio tatizo lakini nawaambia kuwa kwakuwa kuna makosa mengi tu yanayofanyika ndani ya CCM na ndani ya utawala huu basi wajaribu kukosoa ili waupime uhuru wao, kama Wanadhani kuwa huru ni kukubali bila kukosoa basi nawaambia kuwa huo sio UHURU.

Nina mifano michache ya kuwaonyesha wana CCM jinsi ambavyo nao vilevile hawako huru.

1.Unanjua ni kwanini Nape aliondoka kwenye uwaziri, alijaribu kuonyesha kuwa yuko huru kumbe hayuko huru!

2.Unajua kwanini BASHE, MUSUKUMA na MALIMA waliwekwa ndani wakati wa kikao cha NEC, Walidhani wako huru kama wewe unavyodhani.

3.Umewahi kujiuliza kuhusu SADIFA wakati wa uchaguzi wa UVICCM juzi? Kama hukujiuliza jiulize!

4.Umewahi kujiuliza kwanini Meya wa Jiji la mwanza aliwekwa ndani hadi msafara wa mheshimiwa ukapita kwanza? Jiulize leo.

Unaijua hali ya KINANA?

Ndugu zangu sitaki niseme mengi ila kama tu ndani ya chama kuna hali isiyosemwa waziwazi je kwingine? Ukweli ni kwamba kwasasa kuna haja ya kutafuta watu wenye uwezo wa kubadili mambo kabla hatujajuta zaidi.

Nijuavyo mimi hakuna kitu kikubwa kama uhuru, wakati wakoloni wanatutawala kila kitu tulipata na kama tungewaacha mpaka leo basi tungekuwa na maendeleo makubwa kuliko lakini tulikosa UHURU pekee.

Kwa hali iliyopo kwasasa ni nani yuko salama? Hata kama yuko salama mmoja wetu je? Anafurahi mtindo huu? Anafurahia yeye kuwa salama ilihali taifa liko katika hali hii?

Ndugu zangu ni ukweli usiopingika kuwa katiba ya nchi yetu inamruhusu aliyeko madarakani kuwa kama Mungu wa duniani, kwa hali hii yeyote atakayekuwa tofauti nae awe wa chama chake ama wa chama kingine basi ujue nae hatokuwa salama nah ii maana yake ni kwamba ikiwa kila mtu atataka kuwa salama basi asiwepo mkosoaji hata mmoja.

Sasa namuita MEMBE huko alipo aje, simwambii cha kufanya kwasababu najua anajua cha kufanya, ila asiruhusu ipite 2020 kabla hajajitokeza na kufanya jambo.

Ni wazi kuwa yeye ndie mwenye nguvu kwa wakati huu ya kubadilisha mambo, niyeye pekee ambaye akiinuka leo kutakuwa na msururu wa watu nyuma yake hata hawa watakaopinga andiko langu.

Asifanye hivi kwa manufaa ya chama ama yeye binafsi bali kwa manufaa ya nchi, akisubiri wapinzani wafanye watafanyia wapi? WATAFANYIA WAPI?

1. Hawaruhusiwi mikutano ya hadhara.

2. Wanaondolewa kwenye vyyama vyao kwa mbinu nyingi ambazo zingine siwezi kuzisema.

3. Ukifanyika uchaguzi wowote hawawezi kushinda kwasababu hawatakubaliwa kushinda japo kwa idadi ya kura huwa wanashinda.

4. Wakisema wanawekwa ndani.
Wakisema ni Pyuu, Pyuuuu
Katika hali kama hii nchi haiwezi kuwa na maendeleo na hata yakiwepo kidogo yatakuwa sio ya wananchi na wala hawatakuwa na furaha nayo.

MEMBE ukishindwa mtume hata JANUARY!
1120f78158fc9931ac58540c1967a6b5.jpg
Unasumbuka na Membe aliyekataliwa na wana-CCM tena kwa aibu licha ya kuwa na backup yote inayohitajika kwenye mchuano huo, ikiwemo ya Mkwere? Yaani unadiriki kufikiri kuwa Membe ataambulia kitu wakati kitimu lao limeshafurumushiwa mbali?
Nchi inahamia Dodoma na huko wataenda watakatifu tu, JPM keshamaliza kuunda Setikali yake ya kichama, hivyo wote wana-CCM waliokuwa wanamuunga kinafiki, itawapasa aidha wabadilike sasa, ama waondolewe kwa aibu.
Membe ana nguvu gani, ka-Ukanda kake kadogo tu wala hakana madhara.
Uchaguzi Mdogo uliomalizika ndiyo kipimo cha Magufuli. Wapinzani wanaohamia CCM ni kipimo kingine kikubwa sana cha wapi JPM yupo.
Mmeona mje kupima upepo, anzeni upya nchi ishachukuliwa kutoka mikononi mwa wabinafsi, wezi na wadini na sasa itabidi uonyeshe uwezo wako wa darasani kwanza na kujituma kwako kazini - Hapa kazi tu.
 
Una

Unasumbuka na Membe aliyekataliwa na wana-CCM tena kwa aibu licha ya kuwa na backup yote inayohitajika kwenye mchuano huo, ikiwemo ya Mkwere? Yaani unadiriki kufikiri kuwa Membe ataambulia kitu wakati kitimu lao limeshafurumushiwa mbali?
Nchi inahamia Dodoma na huko wataenda watakatifu tu, JPM keshamaliza kuunda Setikali yake ya kichama, hivyo wote wana-CCM waliokuwa wanamuunga kinafiki, itawapasa aidha wabadilike sasa, ama waondolewe kwa aibu.
Membe ana nguvu gani, ka-Ukanda kake kadogo tu wala hakana madhara.
Uchaguzi Mdogo uliomalizika ndiyo kipimo cha Magufuli. Wapinzani wanaohamia CCM ni kipimo kingine kikubwa sana cha wapi JPM yupo.
Mmeona mje kupima upepo, anzeni upya nchi ishachukuliwa kutoka mikononi mwa wabinafsi, wezi na wadini na sasa itabidi uonyeshe uwezo wako wa darasani kwanza na kujituma kwako kazini - Hapa kazi tu.
Nimekuelewa lakini umeongelea ukanda...UKANDA? Sisi tunaongelea nchi.

Anyway...

1.Unadhani hao waliokuwa kambi yake wakafurumushwa wamekufa au bado wapo hai?
2. Kupita kwa Magufuli kwenye ule uchaguzi ni hasira za kukatwa Lowassa
3. Nakuapia ikifanyika free and fair election CCM na huyo nanii wenu hamshindi.
4. Katiba ifwatwe, kuwe na freedom of expression, free and fair election, police wasimamie tu ila wasiingilie, kisha mikutano ya hadhara irudi alafu uniambie tena.

Mwisho kabisa kama unadhani uko safi kosoa siku moja waziwazi ndio utajua!
 
Membe ni mkongwe kwenye huo mchezo, hawezi kuanza mapema hivi ataishiwa pumzi, we ngojea ikikaribia 2020 utaona vigogo wenye nguvu zao ndani ya CCM watavyo m-challenge JPM, itakua ni mashambulizi ya kushtukiza na ya kufa mtu. Jamaa atumie vizuri muhula wake anaweza asipate nafasi nyingine
 
Kama hujui ndio unazidi kuwaharibia au utakuwa unafanya makusudi, yani una pre-empty. MwanaCCM mwenye nguvu yuko mmoja tu na ni Mwenyekiti mwenyewe, Dr John Pombe Joseph Magufuli.
 
Umeongea maneno ya thamani kushinda tanzanite. Maneno haya yaandikwe kwa wino wa almasi. Ila wanalumumba wenzangu tujipime.
 
Una

Unasumbuka na Membe aliyekataliwa na wana-CCM tena kwa aibu licha ya kuwa na backup yote inayohitajika kwenye mchuano huo, ikiwemo ya Mkwere? Yaani unadiriki kufikiri kuwa Membe ataambulia kitu wakati kitimu lao limeshafurumushiwa mbali?
Nchi inahamia Dodoma na huko wataenda watakatifu tu, JPM keshamaliza kuunda Setikali yake ya kichama, hivyo wote wana-CCM waliokuwa wanamuunga kinafiki, itawapasa aidha wabadilike sasa, ama waondolewe kwa aibu.
Membe ana nguvu gani, ka-Ukanda kake kadogo tu wala hakana madhara.
Uchaguzi Mdogo uliomalizika ndiyo kipimo cha Magufuli. Wapinzani wanaohamia CCM ni kipimo kingine kikubwa sana cha wapi JPM yupo.
Mmeona mje kupima upepo, anzeni upya nchi ishachukuliwa kutoka mikononi mwa wabinafsi, wezi na wadini na sasa itabidi uonyeshe uwezo wako wa darasani kwanza na kujituma kwako kazini - Hapa kazi tu.

HHAHAHAHAHHAHAHHAHHAHHAAHA, Unachekesha sana halafu inaonekana maisha yako ni FULL THEORY..

WEZI, WADINI, LAZIMA UONYESHE UWEZO WAKO DARASANI..?????

TANZANIA BILA UNAFIKI HAIWEZEKANI...
 
Mku umelisimani lililohuru ambalo huru itakuweka huru popote uongeapo. Watu wenye nguvu wanaitajika kweli kwani inakoelekea hatuko na umoja.Wazee kama Membe, Mwandosya, Makamba, Tindulisu, Baregu,Mbowe, Kagasheki na vijana kama Bashe, Riziwani, Sugu, Heche, Lema, Waitara na wengine wengi wajitokeze huko waliko ili kutetea furaha ya Watanzania. Ee Mwenyezi Mungu naomba uilinde nchi yangu. Amen
 
Kuna watu Wa chama Fulani maisha yao ni mazuri wote! Yaani tunaolia ni tusio na vyama na wale Wa CHADEMA ambao ni mafisadi. Waliobaki maisha yao super na uchumi kwao unakua kwa 6.8 - 7.2%. Nchi hii kujiunga na hicho Chama tu ni neema tayari sijui kwa nini watu mnapata taabu ya maisha wakati kuna Chama ukijiunga nacho tu Shida zako zinafutika!!?
 
Kuna watu Wa chama Fulani maisha yao ni mazuri wote! Yaani tunaolia ni tusio na vyama na wale Wa CHADEMA ambao ni mafisadi. Waliobaki maisha yao super na uchumi kwao unakua kwa 6.8 - 7.2%. Nchi hii kujiunga na hicho Chama tu ni neema tayari sijui kwa nini watu mnapata taabu ya maisha wakati kuna Chama ukijiunga nacho tu Shida zako zinafutika!!?
Ni kweli ukijiunga na chama changu cha ccm yaani dola ukifanya lolote liwe zuri au baya uko salama. Kwani ukiwa ndani hata ukiwa Fisadi utakuwa utakuwa usumbuliwi na hayo mambo ila ukitoka ndio unaanza kusumbuliwa kwa kuwa ameacha Pengo la mtu wa kuziba hiyo nafasi .Kiufupi Mashine yetu ya kutotolea mafisadi bado ni mpya yaani uzalishaji bado unaendelea karibuni
 
Kiukweli Jpm kuelekea 2020 atashambuliwa sana kutoka ndani ya ccm
 
Una

Unasumbuka na Membe aliyekataliwa na wana-CCM tena kwa aibu licha ya kuwa na backup yote inayohitajika kwenye mchuano huo, ikiwemo ya Mkwere? Yaani unadiriki kufikiri kuwa Membe ataambulia kitu wakati kitimu lao limeshafurumushiwa mbali?
Nchi inahamia Dodoma na huko wataenda watakatifu tu, JPM keshamaliza kuunda Setikali yake ya kichama, hivyo wote wana-CCM waliokuwa wanamuunga kinafiki, itawapasa aidha wabadilike sasa, ama waondolewe kwa aibu.
Membe ana nguvu gani, ka-Ukanda kake kadogo tu wala hakana madhara.
Uchaguzi Mdogo uliomalizika ndiyo kipimo cha Magufuli. Wapinzani wanaohamia CCM ni kipimo kingine kikubwa sana cha wapi JPM yupo.
Mmeona mje kupima upepo, anzeni upya nchi ishachukuliwa kutoka mikononi mwa wabinafsi, wezi na wadini na sasa itabidi uonyeshe uwezo wako wa darasani kwanza na kujituma kwako kazini - Hapa kazi tu.
Ukiondolewa ccm hupati aibu bali unapata heshima kubwa!
 
HHAHAHAHAHHAHAHHAHHAHHAAHA, Unachekesha sana halafu inaonekana maisha yako ni FULL THEORY..

WEZI, WADINI, LAZIMA UONYESHE UWEZO WAKO DARASANI..?????

TANZANIA BILA UNAFIKI HAIWEZEKANI...
Achana na Hako kajamaa ni ka kupuuzwaaa
 
Back
Top Bottom