CCM mliwazidi kete chadema kule Igunga na michezo yenu yote waliisoma, sasa naamini kuwa zamu hii ni zamu ya cdm kufanya manuvaz ya nguvu. Nauliza wana ccm je mmejipangapanga vipi kulinda kura? Na je mkishindwa kati Lusinde na Mbowe nani atakuwa mjamzito wa kudum?
CCM lindeni kura akina slaa wajanja hawawezi kukubali muwatukane vile eti na muwashinde.
CCM lindeni kura akina slaa wajanja hawawezi kukubali muwatukane vile eti na muwashinde.