GE2025 Wana CCM kata nne za Mtwara, warundisha kadi zao za chama

GE2025 Wana CCM kata nne za Mtwara, warundisha kadi zao za chama

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Baadhi ya wanachama wa CCM kutoka kata nne zilizopo mkoani Mtwara wamerudisha kadi za uanachama wao wakipinga uteuzi wa baadhi ya wagombea udiwani kwenye kata zao.

Uteuzi huo umefanywa na kamati ya halmashauri kuu ya chama mkoani humo baada ya kufanyika kwa kura za maoni.

 
Chama kinachotegemea Polisi hakijawahi kuheshimu wanachama
 
Back
Top Bottom