SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
- Thread starter
- #21
Dkt. Charles Stephen Kimei ndiye ataliongoza jimbo hilo kwa chama chochote atakachoamua kugombea
In fact accountability ya Mbatia kama mbunge wa vunjo tangu achaguliwe ni ndogo kwani hata ahadi zake nying zmekuwa theoretical zaidi kwahyo uwezekano wa yye kurudi bungeni kama mbunge wa vunjo ni ndogo Lakin pia hao makada wa fisiemu uliowaeleza hapo siwapi nafasi kubwa ya kuwin the position kutokana na ukweli kuwa CHADEMA wamekuwa na popularity kubwa zaidi hivyo mh.Grace kiwelu anauwezekano mkubwa wa kupata hyo nafasi kwa sasa