Wana Arumeru Magharibi tumekukataa Gibson Meiseyeki

Azarel

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
26,103
34,063
Habarini Wadau,

Ninaandika habari za huyu jamaa ambaye ni Mbunge jina wa Arumeru Magharibi.

Ninaweza kusema huyu ni Mbunge wa ajabu kuliko wabunge wengine ambao nimewahi kuwafahamu.

Ni Mbunge ambaye tangu apate nafasi ya Ubunge hajazungumzia changamoto zilizopo jimboni kwake. Ama lah, hajawahi hata kubuni au kutengeneza mikakati yoyote ya kimaendeleo katika jimbo lake.

Hajawahi kusimama bungeni aidha kwa kutetea hoja yakinifu (Positive ones) au hata kupinga hoja yoyote iliyo na matokeo mabaya kwa wananchi wake.


GIBSON MEISEYEKI amekuwa akisubiriwa na waliompigia kura angalau aende kujionea adha na matatizo wanayoyapata wananchi wake hasa ya kuwa na Barabara mbovu mno zinazotoka mashambani kuingia mjini (Feeder roads)

Barabara hizi ni za muhimu sana na zipo karibu kabisa na Main roads ya Arusha-Moshi, ndizo zinazotoa Cabbages, Carrots, Viazi/ Potatoes, mahindi mabichi, matango na Vitunguu na kupeleka mjini au soko kuu na katika supermarkets. Mvua ikinyesha barabara hizi hazipitiki kwa miguu wala kwa gari au pikipiki.

Mfano mzuri ni barabara ya kuelekea ILBORU SEC, Sanawari, White Rose n.k


Tatizo lingine ni Ukosefu wa Maji katika maeneo hayohayo.

Huyu Mbunge anachojisifia kila Mara ni urekebishaji wa shule ya sekondari ya Enyoito tu, ilihali hata barabara ya kufikia hapo ni mbovu.

Hata kama si yeye anayetatua tatizo hili straight away lakini hata kuona changamoto hizi na kuzungumzia pia hawezi?

Hawezi hata kukaa na Halmashauri na kujadili namna ya kutatua hizi changamoto hata kidogo?

Alichaguliwa ili adeal na kampuni yake ya Tours tu na biashara zake bila kujali matatizo ya wanajimbo lake?

This is too much kwa Mbunge kijana kama huyu.

Mbona G. Lema na Nassari ni Wapinzani na wamekuwa wakiongelea matatizo ya majimbo yao?
 
Modarators Ninaomba SANA kuwasilisha Kero kutoka vikao vya jimboni hivyo isifutwe mada hii.


Habarini Wadau,

Ninaandika habari za huyu jamaa ambaye ni Mbunge jina wa Arumeru Magharibi.

Ninaweza kusema huyu ni Mbunge wa ajabu kuliko wabunge wengine ambao nimewahi kuwafahamu.

Ni Mbunge ambaye tangu apate nafasi ya Ubunge hajazungumzia changamoto zilizopo jimboni kwake. Ama lah, hajawahi hata kubuni au kutengeneza mikakati yoyote ya kimaendeleo katika jimbo lake.

Hajawahi kusimama bungeni aidha kwa kutetea hoja yakinifu (Positive ones) au hata kupinga hoja yoyote iliyo na matokeo mabaya kwa wananchi wake.


GIBSON MEISEYEKI amekuwa akisubiriwa na waliompigia kura angalau aende kujionea adha na matatizo wanayoyapata wananchi wake hasa ya kuwa na Barabara mbovu mno zinazotoka mashambani kuingia mjini (Feeder roads)

Barabara hizi ni za muhimu sana na zipo karibu kabisa na Main roads ya Arusha-Moshi, ndizo zinazotoa Cabbages, Carrots, Viazi/ Potatoes, mahindi mabichi, matango na Vitunguu na kupeleka mjini au soko kuu na katika supermarkets. Mvua ikinyesha barabara hizi hazipitiki kwa miguu wala kwa gari au pikipiki.

Mfano mzuri ni barabara ya kuelekea ILBORU SEC, Sanawari, White Rose n.k


Tatizo lingine ni Ukosefu wa Maji katika maeneo hayohayo.

Huyu Mbunge anachojisifia kila Mara ni urekebishaji wa shule ya sekondari ya Enyoito tu, ilihali hata barabara ya kufikia hapo ni mbovu.

Hata kama si yeye anayetatua tatizo hili straight away lakini hata kuona changamoto hizi na kuzungumzia pia hawezi?

Hawezi hata kukaa na Halmashauri na kujadili namna ya kutatua hizi changamoto hata kidogo?

Alichaguliwa ili adeal na kampuni yake ya Tours tu na biashara zake bila kujali matatizo ya wanajimbo lake?

This is too much kwa Mbunge kijana kama huyu.

Mbona G. Lema na Nassari ni Wapinzani na wamekuwa wakiongelea matatizo ya majimbo yao?
Acha kulialia barabara ya Ilboru iko poa tu huwezi kulinganisha na barabara za Kongwa japo mbunge wao ni Spika wa Bunge!
 
Acha kulialia barabara ya Ilboru iko poa tu huwezi kulinganisha na barabara za Kongwa japo mbunge wao ni Spika wa Bunge!
Ni lini umeipita au kuiona barabara ya Ilboru kwa siku za karibuni?

Jitahidi uwe unaandika kitu ulicho na uhakika nacho.

Usikurupuke tu kuandika.
 
Modarators Ninaomba SANA kuwasilisha Kero kutoka vikao vya jimboni hivyo isifutwe mada hii.


Habarini Wadau,

Ninaandika habari za huyu jamaa ambaye ni Mbunge jina wa Arumeru Magharibi.

Ninaweza kusema huyu ni Mbunge wa ajabu kuliko wabunge wengine ambao nimewahi kuwafahamu.

Ni Mbunge ambaye tangu apate nafasi ya Ubunge hajazungumzia changamoto zilizopo jimboni kwake. Ama lah, hajawahi hata kubuni au kutengeneza mikakati yoyote ya kimaendeleo katika jimbo lake.

Hajawahi kusimama bungeni aidha kwa kutetea hoja yakinifu (Positive ones) au hata kupinga hoja yoyote iliyo na matokeo mabaya kwa wananchi wake.


GIBSON MEISEYEKI amekuwa akisubiriwa na waliompigia kura angalau aende kujionea adha na matatizo wanayoyapata wananchi wake hasa ya kuwa na Barabara mbovu mno zinazotoka mashambani kuingia mjini (Feeder roads)

Barabara hizi ni za muhimu sana na zipo karibu kabisa na Main roads ya Arusha-Moshi, ndizo zinazotoa Cabbages, Carrots, Viazi/ Potatoes, mahindi mabichi, matango na Vitunguu na kupeleka mjini au soko kuu na katika supermarkets. Mvua ikinyesha barabara hizi hazipitiki kwa miguu wala kwa gari au pikipiki.

Mfano mzuri ni barabara ya kuelekea ILBORU SEC, Sanawari, White Rose n.k


Tatizo lingine ni Ukosefu wa Maji katika maeneo hayohayo.

Huyu Mbunge anachojisifia kila Mara ni urekebishaji wa shule ya sekondari ya Enyoito tu, ilihali hata barabara ya kufikia hapo ni mbovu.

Hata kama si yeye anayetatua tatizo hili straight away lakini hata kuona changamoto hizi na kuzungumzia pia hawezi?

Hawezi hata kukaa na Halmashauri na kujadili namna ya kutatua hizi changamoto hata kidogo?

Alichaguliwa ili adeal na kampuni yake ya Tours tu na biashara zake bila kujali matatizo ya wanajimbo lake?

This is too much kwa Mbunge kijana kama huyu.

Mbona G. Lema na Nassari ni Wapinzani na wamekuwa wakiongelea matatizo ya majimbo yao?
Kwanza tujuze ni mbunge toka chama kipi?Sisi wa Rorya hatujui chochote kuhusu mikoa ya kaskazini,nijibu halafu nitarudi baadae.
 
Ni lini umeipita au kuiona barabara ya Ilboru kwa siku za karibuni?

Jitahidi uwe unaandika kitu ulicho na uhakika nacho.

Usikurupuke tu kuandika.
wewe ndiyo unakurupuka kwani hujui kipindi cha mvua barabara zote hazipitiki zikiwemo za katikati ya jiji la Dar?
 
Modarators Ninaomba SANA kuwasilisha Kero kutoka vikao vya jimboni hivyo isifutwe mada hii.


Habarini Wadau,

Ninaandika habari za huyu jamaa ambaye ni Mbunge jina wa Arumeru Magharibi.

Ninaweza kusema huyu ni Mbunge wa ajabu kuliko wabunge wengine ambao nimewahi kuwafahamu.

Ni Mbunge ambaye tangu apate nafasi ya Ubunge hajazungumzia changamoto zilizopo jimboni kwake. Ama lah, hajawahi hata kubuni au kutengeneza mikakati yoyote ya kimaendeleo katika jimbo lake.

Hajawahi kusimama bungeni aidha kwa kutetea hoja yakinifu (Positive ones) au hata kupinga hoja yoyote iliyo na matokeo mabaya kwa wananchi wake.


GIBSON MEISEYEKI amekuwa akisubiriwa na waliompigia kura angalau aende kujionea adha na matatizo wanayoyapata wananchi wake hasa ya kuwa na Barabara mbovu mno zinazotoka mashambani kuingia mjini (Feeder roads)

Barabara hizi ni za muhimu sana na zipo karibu kabisa na Main roads ya Arusha-Moshi, ndizo zinazotoa Cabbages, Carrots, Viazi/ Potatoes, mahindi mabichi, matango na Vitunguu na kupeleka mjini au soko kuu na katika supermarkets. Mvua ikinyesha barabara hizi hazipitiki kwa miguu wala kwa gari au pikipiki.

Mfano mzuri ni barabara ya kuelekea ILBORU SEC, Sanawari, White Rose n.k


Tatizo lingine ni Ukosefu wa Maji katika maeneo hayohayo.

Huyu Mbunge anachojisifia kila Mara ni urekebishaji wa shule ya sekondari ya Enyoito tu, ilihali hata barabara ya kufikia hapo ni mbovu.

Hata kama si yeye anayetatua tatizo hili straight away lakini hata kuona changamoto hizi na kuzungumzia pia hawezi?

Hawezi hata kukaa na Halmashauri na kujadili namna ya kutatua hizi changamoto hata kidogo?

Alichaguliwa ili adeal na kampuni yake ya Tours tu na biashara zake bila kujali matatizo ya wanajimbo lake?

This is too much kwa Mbunge kijana kama huyu.

Mbona G. Lema na Nassari ni Wapinzani na wamekuwa wakiongelea matatizo ya majimbo yao?
Miseyeki anakusanya kodi?huna jipya
 
wewe ndiyo unakurupuka kwani hujui kipindi cha mvua barabara zote hazipitiki zikiwemo za katikati ya jiji la Dar?
Barabara ninazozungumzia ni mbovu hata kusipokuwa na mvua, imechimbika vibaya sana hata magari kupishana ni vigumu mno.
 
Modarators Ninaomba SANA kuwasilisha Kero kutoka vikao vya jimboni hivyo isifutwe mada hii.


Habarini Wadau,

Ninaandika habari za huyu jamaa ambaye ni Mbunge jina wa Arumeru Magharibi.

Ninaweza kusema huyu ni Mbunge wa ajabu kuliko wabunge wengine ambao nimewahi kuwafahamu.

Ni Mbunge ambaye tangu apate nafasi ya Ubunge hajazungumzia changamoto zilizopo jimboni kwake. Ama lah, hajawahi hata kubuni au kutengeneza mikakati yoyote ya kimaendeleo katika jimbo lake.

Hajawahi kusimama bungeni aidha kwa kutetea hoja yakinifu (Positive ones) au hata kupinga hoja yoyote iliyo na matokeo mabaya kwa wananchi wake.


GIBSON MEISEYEKI amekuwa akisubiriwa na waliompigia kura angalau aende kujionea adha na matatizo wanayoyapata wananchi wake hasa ya kuwa na Barabara mbovu mno zinazotoka mashambani kuingia mjini (Feeder roads)

Barabara hizi ni za muhimu sana na zipo karibu kabisa na Main roads ya Arusha-Moshi, ndizo zinazotoa Cabbages, Carrots, Viazi/ Potatoes, mahindi mabichi, matango na Vitunguu na kupeleka mjini au soko kuu na katika supermarkets. Mvua ikinyesha barabara hizi hazipitiki kwa miguu wala kwa gari au pikipiki.

Mfano mzuri ni barabara ya kuelekea ILBORU SEC, Sanawari, White Rose n.k


Tatizo lingine ni Ukosefu wa Maji katika maeneo hayohayo.

Huyu Mbunge anachojisifia kila Mara ni urekebishaji wa shule ya sekondari ya Enyoito tu, ilihali hata barabara ya kufikia hapo ni mbovu.

Hata kama si yeye anayetatua tatizo hili straight away lakini hata kuona changamoto hizi na kuzungumzia pia hawezi?

Hawezi hata kukaa na Halmashauri na kujadili namna ya kutatua hizi changamoto hata kidogo?

Alichaguliwa ili adeal na kampuni yake ya Tours tu na biashara zake bila kujali matatizo ya wanajimbo lake?

This is too much kwa Mbunge kijana kama huyu.

Mbona G. Lema na Nassari ni Wapinzani na wamekuwa wakiongelea matatizo ya majimbo yao?
Mbona wewe badala ya kuzungumzia unalaumu,au ukiwa mbunge jimbo lako wote wanakuwa vipofu!
 
Anakusanya kodi?shida yako hujui hilo ni jukumu la nani,nimekuekewa ila wewe ndo hujielewi
Sawa, hakusanyi kodi...lakini kazi ya Mbunge no IPI?

Yeye anawawakilisha wanajimbo lake serikalini, ni Mwakilishi, ni Msemaji wa kero za wananchi.

Ikiwa ameelezwa Mara kwa Mara kero zilizopo jimboni lakini asiwasilishe kunapopaswa wala kukutana na wapiga kura wake kujua matatizo yao unalizungumziaje?

Halmashauri inakusanya kodi na imefanya angalao kwa sehemu flani kwenye baadhi ya barabara.

Haya tuendelee.
 
Back
Top Bottom