Hawa bado wana makosa tu hata kama wamedukuliwa, ni kwamba hiyo habari ni kweli wao ndiyo wameaiandika (maana hawajakanusha kwamba hawahusiki nayo) ila usambazaji wake mtandaoni ndiyo umefanyika bila kibali cha wahusika. Sasa kwanza lazima wapambane na kujibu kuhusu maudhui ya gazeti ndipo hapo habari ya kudukuliwa ianze kusikilizwa. Mwisho wa siku huyu Musiba ni kwamba kashajikatia tamaa na maisha, kaingiwa na frustrations za maisha, anatafuta kuwa sawa kwa kufanya haya anayoyafanya akifikiri ndiyo dawa ya ugonjwa wake. Amekuwa fedheha na aibu kwa familia yake na jamii ya watu wangwana. Hawa ni aina na watu walio radhi kuua hata mtu kwa ajili ya kupata vyeo au pesa ni matokeo mabaya ya frustrations .