Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Msemaji wa Serikali Dk Abbas alipoulozwa sababu ya kutolifungia gazeti la Tanzanite licha ya kuandika habari ambazo zingeandikwa na gazeti lingine lisilohusiana na serikali lingefungiwa.
Msemaji huyo amesema hawajalifungia kwa sababu hakuna mtu aliyefika kwake kulalamika
Pia soma
=> Je, Gazeti la Tanzanite kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa kuandika habari iinayomdhalilisha mwanadada Mange Kimambi?
Msemaji wa Serikali, alisema kuwa amepata malalamiko kuhusu gazeti la Tanzanite na kuchukua uamuzi wa kuwaita. Soma => Gazeti la Tanzanite kitanzini kwa habari zisizo na weledi. Waitwa Ofisi ya Habari Maelezo kujieleza
Pia soma utetezi wa Tanzanite kuhusu kudukuliwa => Wamiliki gazeti Tanzanite wafungua kesi kudai wamedukuliwa na kuchapisha habari zisizo na maadili, sio wao walichapisha
Msemaji wa Serikali: Tumelionya gazeti la Tanzanite kwa kuchapisha picha za utupu
Msemaji huyo amesema hawajalifungia kwa sababu hakuna mtu aliyefika kwake kulalamika
Pia soma
=> Je, Gazeti la Tanzanite kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa kuandika habari iinayomdhalilisha mwanadada Mange Kimambi?
Msemaji wa Serikali, alisema kuwa amepata malalamiko kuhusu gazeti la Tanzanite na kuchukua uamuzi wa kuwaita. Soma => Gazeti la Tanzanite kitanzini kwa habari zisizo na weledi. Waitwa Ofisi ya Habari Maelezo kujieleza
Pia soma utetezi wa Tanzanite kuhusu kudukuliwa => Wamiliki gazeti Tanzanite wafungua kesi kudai wamedukuliwa na kuchapisha habari zisizo na maadili, sio wao walichapisha
Msemaji wa Serikali: Tumelionya gazeti la Tanzanite kwa kuchapisha picha za utupu