Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Yaani mmoja wa wamiliki wa jarida hili ni Musiba wa ccm, ili kukwepa adhabu naona wameshauriwa wafanye ivyo kwa kuandika ujinga.
Hii imekuja muda mfupi baada ya Ofisi ya Habari Maelezo kuwaita gazeti la Tanzanite kwa kuandika habari inayokinzana na maadili ya uandishi. Soma =>Gazeti la Tanzanite kitanzani kwa habari zisizo na ueledi. Waitwa ofisi ya Habari Maelezo kujieleza
Hii imekuja muda mfupi baada ya Ofisi ya Habari Maelezo kuwaita gazeti la Tanzanite kwa kuandika habari inayokinzana na maadili ya uandishi. Soma =>Gazeti la Tanzanite kitanzani kwa habari zisizo na ueledi. Waitwa ofisi ya Habari Maelezo kujieleza