Wametoka mbaali JOTI NA MPOKI

Wametoka mbaali JOTI NA MPOKI

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
754
<header>





429228_3327877350739_1082591506_33323623_392286054_n.jpg















</header>
 
usituweke looser wako walipotoka na sasa atuoni tofauti labda kama walikutoa outing
 
Na walikubali kutumika na ccm wako wapi? waliwacheka wenzao kuwa wamefulia oho wamepigwa chini sasa wao wamepigwa vyote kwa pamoja
 
Mpanda ngazi, hushuka, Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, Ngoma ikilia sana hupasuka ......lakini.....Kuteleza sio kuanguka.....
 
kwani wamefanya nini jamani wengine tbc hatuipati
 
pigwa chiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. wamefuliaaa
 
Wadau mbna kama jazba,hapa haiongelewi OJ KOMED anaongelewa JOTI N MPOKI.hebu tutoe coment za mana kimpango huo hatutamaansha kuwa ss n GREET THINKERS,,mnyonge mnyongen hak yake mpeni n matumain yangu mmesha wanyonga vya kutosha sasa haki zao wapeni
 
Kwani hawapo Arumeru ? Mbwiga kweli hawa wanyela,walijiona wamefiiiiika.
 
Back
Top Bottom