bitare
Senior Member
- Jul 13, 2023
- 196
- 601
Kwawale tuliokua tukifatilia kesi hadi sasa hukumu, na kwajinsi hakimu alivyosoma hukumu, imesikitisha sana kuona maamuzi yaliyotolewa.
Kulingana na wanasheria walivyokua wakieleza, nikua ili mwanachama afukuzwe katika chama ni lazima taratibu zote zakumfuta uanachama za chama zifatwe, sasa hapa ndo kwenye shida kwasababu kasoro iliyojitokeza ni kwa baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walio hudhulia maamuzi ya kuwafukuza wabunge wale, kuwepo tena kwenye baraza kuu lililo shiriki kuamua rufaa waliyoikata, ila kama Chama kinatambua kua baadhi ya wajumbe wakamati kuu pia niwajumbe wabaraza kuu ni wapi utaratibu haukufuatwa?
Kulingana na wanasheria walivyokua wakieleza, nikua ili mwanachama afukuzwe katika chama ni lazima taratibu zote zakumfuta uanachama za chama zifatwe, sasa hapa ndo kwenye shida kwasababu kasoro iliyojitokeza ni kwa baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walio hudhulia maamuzi ya kuwafukuza wabunge wale, kuwepo tena kwenye baraza kuu lililo shiriki kuamua rufaa waliyoikata, ila kama Chama kinatambua kua baadhi ya wajumbe wakamati kuu pia niwajumbe wabaraza kuu ni wapi utaratibu haukufuatwa?