Wameniharibia kwa mpenzi walioniunganisha naye

Wameniharibia kwa mpenzi walioniunganisha naye

Pole sana,hayo makuzi yapo sana kwa umri wenu huo.
Cha kufanya.

Muite huyo mwanamke,muelezee kila kitu kuanzia mwanzo tokea yupo na jamaa yake,

Alivyokupa namba,hadi vile anawaonea wivu .na mpaka alivyotuma watu na kuwalipa.

Akielewa mpange asijihusishe na mwana wala washikaji zake .akikubali piga mimna sasa
asante kwa muda wako umeongea point ingawa vijana Wa jf wananiponda sana cjuw tatzo liko wap?
 
Sasa huyo manzi wa kuambiwa maneno akaingia mzima mzima ni manzi gani huyo? tafuta mwingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bwana mudi kua makini makambako kuna ukimwi kila kona kitisi,mjimwema,mizani,ubena,majengo,kivavi,soko la nyanya

Acha kushea utakufa.
 
Aisee nmekusifu sana yani umeamua kuchukua manzi iliyoachwa na rafiki yako ma kuamua kuitesekea kabisa inapoondoka mikononi mwako?? Sio kwamba kweli ulienda kwa lengo na kuhit na kukimbia?

Sawa bn ila huyo manzi na yeye alikua anakutafutia gape la kukuacha tu na kama sivyo basi hakufai maana atakua mtu wa kusikiliza maneno huko nje na kuja nayo ndani kukusumbua nayo tu maana hana chujio hata kidg
 
Jitahidi mrudiane muoane na ukimuudhi kidogo aende liwa mambo na aliyekuunganisha
 
Nakushauri ushauri wa mwisho.

Achana na habari za kuchukua mwanamke ambaye amewahi kuwa na mahusiano na rafiki yako au wa ndugu yako.

Ni hatari kwa afya yako.
 
Daah aisee sasa kama vitu vidogo vinakushinda kutoa maamuzi vikubwa je? Ebu punguza makundi ambayo hayana maana kwako jikite kufanya kazi
 
Back
Top Bottom