Wamemdaka, simu zake wanazo!

Makampuni yote ya simu tanzania yanauza taarifa za wateja wakati wote..hata bila kuchukua simu zake wanamjua ndani nje..
 
Gobore tumpore,
nyegere mwendo wa pore,
kichaa chechere,
anatoa na kuweka bure,
ukipinga nong'ona chumbani isisikike kwenye sebure,
utatumbuliwa bure,
upewe kesi ya uhahini na kisebure.
ehauri lako mpole mpore achecheta achecheteee.
Wameua watu kama Kibwetere,
Baadhi yetu tumekuwa wanasesere,
Chanzo cha haya yote ni Nyerere,
Thatha thithi thote thiyo wapare.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…